Mwigulu amchana chana Lissu Hadharani

Mkuu, hata sie wananchi tuko hivo hivo. Angalia ziara za Kinana na Nape nchini, wakati Kinana kajikita kuongelea kwa kuiponda katiba mpya na kusema sio muarobaini wa matatizo ya wananchi, Nape hapo hapo jukwaani anaponda kuzungumzia katiba mpya eti ni ya 'wanasiasa' halafu wananchi hatuwaulizi wao kazi yao ni nini?
Wanatuambia (Kinana na Nape) kuwa wanaotaka serikali tatu wanauroho wa madaraka, hatuwaulizi wao humo CCM wamo kama akina nani na pendekezo la muundo huo ni wetu wananchi sio viongozi wa vyama!!!!!!! Tatizo ni SISI.

Nakubaliana na wewe, lakini mambo yanabadirika. Mambo hayapo kama yanavyoripotiwa na vyombo vya habari, wananchi wengi sasa hawaiamini tena CCM na serikali yake. Enzi zile ilikuwa kiongozi akitamka kitu kilikuwa kinachukuliwa kama msahafu na wananchi, mambo hayapo hivyo tena, CCM wanatumia gharama kubwa sana kuitangaza mikutano yao lakini raia wameshaijua janja yao, wanawaignore.
 
Haya anayo ongea Lissu, kama angekuwa anaongea kama m-znz au kakodiwa na wa-znz ningemuelewa..unless his main aim is kuwajaza wa znz hasira za kujitoa katika muungano...otherwise he really needs medication at earliest possible time.
 
wanaokudharau lissu siku moja watakusalimia kwa heshima ehhhh,,,,wanaouidharau Ukawa siku moja wataona matokeo yak:):A S cry::A S cry:
 
Kama naibu waziri wa fedha aoneshe mahesabu ya mgawanyo wa kibajeti na Mokpo ya nje. Sio azungumze bila data.
 
Ni Tanzania tu mtu aliyekosa uvumilivu wa kisiasa na anayejivunia elimu ya makaratasi tu bila kudhibitisha kwa vitendo ndo anaweza kupewa uwaziri kama ilivyo kwa Lameck. Siku zote naona level ya elimu yake ni tofauti kabisa na kauli na matendo yake!
 
mleta mada kichwa cha habari ya mada yako hakina mashiko kwa kuwa huyo unaemshabikia kumchana Lisu hakujibu hoja yeyote ya Lisu NA CCM kwa ujumla mmeshindwa kujibu hoja za lisu mmebaki kuleta ushabiki wa TAARB NA MIPASHO. Hongera Kamanda Lisu aluta continua!!
 
mleta mada kichwa cha habari ya mada yako hakina mashiko kwa kuwa huyo unaemshabikia kumchana Lisu hakujibu hoja yeyote ya Lisu NA CCM kwa ujumla mmeshindwa kujibu hoja za lisu mmebaki kuleta ushabiki wa TAARB NA MIPASHO. Hongera Kamanda Lisu aluta continua!!
 
mwigulu nchemba hawezi kusema katoka mmkoa 1 na lissu kwa sababu lissu anaongea mambo ya maana na uhakika yeye mwigulu ni mr misifa na ana matusi
 
We Mwigulu nenda ukashughulike na wenzio sethi singa singa achana na lisu so size yako. Kumjibu tu Maelezo yako ni pumba tu, ukiendelea si uharo tayari.
 
Nakubaliana na wewe, lakini mambo yanabadirika. Mambo hayapo kama yanavyoripotiwa na vyombo vya habari, wananchi wengi sasa hawaiamini tena CCM na serikali yake. Enzi zile ilikuwa kiongozi akitamka kitu kilikuwa kinachukuliwa kama msahafu na wananchi, mambo hayapo hivyo tena, CCM wanatumia gharama kubwa sana kuitangaza mikutano yao lakini raia wameshaijua janja yao, wanawaignore.

siridhiki na kasi,utamaduni wa kutokuhoji umewapa jeuri sana wanasiasa.ona tulivojificha na fake id,wengine wanajifanya wako neutral wakati wanajua kuna upande unaumia
 
Mkuu, labda kama wewe unaona kuwa ni pumba. Ila hakika Lissu leo anaumbuliwa kama anavyoumbuliwa mara kwa mara

Dah, hadi raha. Mnamhofia TL hadi mnatamani solidarity ya kumsuta! Mwambieni basi Komba amtungie nyimbo ya mipasho, jitahidini bado mna vijiresorces vya kumuumbua TL tuone kama itafaa
 
Ukweli unauma, bado... Achangie hotuba ya waziri na atoe ushahidi wa alichokisema Lissu aachane na kuropoka tu maneno
 
muungano tutaulinda sisi, sio wewe na mwehu wenu lissu

Nyinyi akina nani? na kwa ajili ya nani kama wenye muungano wa 2 hatuutaki tunataka wa tatu ( rejea rasimu halali iliyo undwa na raisi na kutafuna bilioni 67)?
Kumbuka cheo ni dhamana tu ndugu unao waita wehu leo kesho ndo waheshimiwa sana!
 
Hakuna Mwanasiasa hata Mmoja wa kumwamini Tanzania , Kila mtu yupo kwenye kuhakikisha Tumbo lake linavimba .......Mungu tusaidie
 
Sasa Mwigulu anachangia bajeti ya Makamu wa Rais Muungano. Anasema kuwa anachofanya Lissu ni jitihada zake za kuwafitinisha Wazanzibari baada ya kushindwa kuwachonganisha Watanzania Bara. Anasema kuwa wakati mwingina anaona aibu kujitambulisha kuwa anatoka Singida kutokana na matendo ya Tundu Lissu. Anasema kuwa Lissu ameongea mambo mengi ambayo hana takwimu wala hakika yake. Anawashangaa Wazanzibari kwa kufurahia hotuba ya Lissu huku wanajua kuwa anafanya jitihada za kuwagombanisha. Anasema kuwa mambo yakiharibika watakaoumia ni Wazanzibari huku Lissu akifurahia kwake Singida.

Hana issu, Mwigulu wenyewe elimu ni mgogoro, sijawahi kumuona wala kumsikia bungeni ata siku 1 akichangia kwa logic, data na ref siku zote ni matusi na mipasho tu kama dada Asha Bakari wa kule Zanzibar. Kama ni kidume angepangua ata hoja 1 tu kati ya alizojenga Mh Tundu Lissu.
 
Kama Lissu ni muongo, kwanini hawakuomba Mwongozo hata dakika moja hadi anamaliza hotuba yake!
 
Back
Top Bottom