moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,694
- 16,413
Pole sana,usimwamini mtu kwamuonekano wa njeNyie wanawake mbona hamjijali kiasi hiki, Msichana unaonekana mzuri kwa nje ila kwa ndani ni balaaa una magonjwa kama yote.
Nilikutana na ka Binti kazuri nikakaamini nikakapelekea moto kavu kavu, leo siku ya nne nimeanza kusikia maumivu kila nikikojoa pia natokwa kama usaha nikikojoa, sijui ndo UTI sijui Gono.
View attachment 2897819
Hiki ndo naendelea nacho kwa sasa.