Mwenzenu nimeyatimba

Nyie wanawake mbona hamjijali kiasi hiki, Msichana unaonekana mzuri kwa nje ila kwa ndani ni balaaa una magonjwa kama yote.

Nilikutana na ka Binti kazuri nikakaamini nikakapelekea moto kavu kavu, leo siku ya nne nimeanza kusikia maumivu kila nikikojoa pia natokwa kama usaha nikikojoa, sijui ndo UTI sijui Gono.

View attachment 2897819

Hiki ndo naendelea nacho kwa sasa.
Pole sana,usimwamini mtu kwamuonekano wa nje
 
Nyie wanawake mbona hamjijali kiasi hiki, Msichana unaonekana mzuri kwa nje ila kwa ndani ni balaaa una magonjwa kama yote.

Nilikutana na ka Binti kazuri nikakaamini nikakapelekea moto kavu kavu, leo siku ya nne nimeanza kusikia maumivu kila nikikojoa pia natokwa kama usaha nikikojoa, sijui ndo UTI sijui Gono.

View attachment 2897819

Hiki ndo naendelea nacho kwa sasa.
Hana uzuri wowote ndugu alikuwa malaya huyo wewe ukadhani bint wamaana
 
Kunywa vidonge viwili vya Azuma,
Nenda dukani chukua cefixime 400mg, kidonge kimoja,

Kunywa kwa pamoja,
Kisha kaa siku 5 bila sex, usije muambukize mwenzako,
Kisha maisha yaendelee siku ya 6
Mkuu hapa Nina Azuma vidonge 6 nakunywa kwa siku sita. Na hizo zingine zingine sasa.
 
Nyie wanawake mbona hamjijali kiasi hiki, Msichana unaonekana mzuri kwa nje ila kwa ndani ni balaaa una magonjwa kama yote.

Nilikutana na ka Binti kazuri nikakaamini nikakapelekea moto kavu kavu, leo siku ya nne nimeanza kusikia maumivu kila nikikojoa pia natokwa kama usaha nikikojoa, sijui ndo UTI sijui Gono.

Sasa nani asiyejijali hapa, wewe uliyepiga kavu au huyo mdada?

Wiki nne zijazo pima ngoma...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom