valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,851
- 869
Samahani kama ntakuumiza ila wewe jamani kama mtu alishacheat MARA KADHAA na ukamsamehe (meaning umekubali upungufu wakehuo) unalalamika nini akiendelea???Wakati unamsamehe mara zote hizo ulitegemea nini??Kwamba atajifunza kutokana na msamaha wako???
Ingekua hii ni mara ya pili ningeelewa malalamiko yako kwasababu ungekua ulimsamehe mara moja akaahidi kutorudia ukamwamini ila akajunja ahadi yake. Ila sasa wewe mara kadhaa....zote anatoa ahadi ya kuacha na bado haachi what did you expect???
Neway umeshajua ni mtu wa aina gani...sasa amua kama uko tayari kuishi maisha ya kuwa-cheated kila siku uendelee nae kama sio uangalie ustaarabu mwingine. Maana matumaini ya kubadilika hapo ni madogo kwakua umeshamzoesha kua utamsamehe...hivyo hajali sana matokeo ya matendo yake.
umemwambia vema.
Kwa staili ya msamaha alokuwa akigawa, ni ngumu huyo BF kujifunza na kujirekebisha...si anajua atasamehewa tena.