Chadema ni safina ya kwenda kwenye uzima. Karibu sana ujiunge na makamanda wa ukweli.Kamanda Godbless Lema akiwa kwenye mikutano na uzinduzi wa matawi, Ndipo mwenyekiti wa Vijana CCM kata ya Kisesa akafanya maamzi sahihi ya kuhamia chadema.
Kisesa ni jimbo mkuu ambalo kwa sasa lipo mkoa wa Simiyu.Kata ya kisesa ipo wapi Crashwizo? Jimbo gani? Hahahaha Habari njema kwa UKOMBOZI MPYA.
Kamanda Godbless Lema akiwa kwenye mikutano na uzinduzi wa matawi, Ndipo mwenyekiti wa Vijana CCM kata ya Kisesa akafanya maamzi sahihi ya kuhamia chadema.
Kisesa ni jimbo mkuu ambalo kwa sasa lipo mkoa wa Simiyu.
Wale maiwani 4 na wenyeviti 21 vip kamanda au bado wanatafakazi uamuzi mgumuna wana chama wengi wamerudisha kadi za magamba na kujiunga na CDM...