Mwenyekiti wa sau amuunga mkono wenje suala la jemus mbatia!!!!!!!!!!

KING COBRA

JF-Expert Member
Nov 10, 2011
2,782
864
Mwenyekiti wa chama cha sau amemuunga mkono mhe wenje na kumutaka mbatia aachie ngazi nafasi ya mwenyekiti taifa -nccr ili kuimarisha upinzani. Amesema kwa sasa hawezi kumushirikiasha mbatia kama mpinzani na kupanga mikakatati ya kuwakomboa wanyonge na kuikosoa serikali ya kikwete ,kwa hofu kuwa taarifa za mikakati hiyo zinaweza kumufikia rais kikwete mara moja!!.

Amesema kazi ya upinzani ni kukosoa serikali na mkosoaji lazima awe huru kimawazo na muonekano.muonekano wa mbatia baada ya kuteuliwa na rais kikwte unaonyesha dhahiri kuwa hayupo huru na maoni yake hayawezi kuwa huru!!

Hata wananchi hawawezi kumuamini kama jinsi walipomwamini kabla wakati anashughulikia suala la korosho mtwara.
"mimi kama mwenyekiti wa sau naona uamuzi uliochukuliwa na jemusi mbatia na kutangazwa na katibu mwenezi nccr(mh moses machali) unalenga kuua upinzani na ni ushahidi mzuri kuwa mbatia na nccr ni kibaraka wa ccm. Hata hivyo kauli hiyo inaharibu mahusiano mazuri yaliyotokana na muafaka wa hivi karibuni kati ya chadema na nccr na kupelekea mbatia , kufuta kesi ya kawe dhidi ya halima mdee.kama mbatia alifuta kesi hiyo bila hila moyono mwake ni bora akawa na hofu ya mungu na kuzingatia maslahi ya taifa ambapo nguvu ya umma ina taka movement for change inayohitaji kunganisha vyama badala ya kutishiana!!!!!!!!
Ni bora mbatia akatazama upya athari za kukubali uteuzi wa rais kikwete ambaye ni mwenyekiti wa ccm huku yeye aendekee kubakia kuwa mwenyekiti wa nccr, hapa ndipo watu wanaona mwenyekiti wa ccm anaimani na mwenyekiti wa upinzani kuliko wanachama wa ccm wenyewe.anayekosolewa anaimani na anayekosoa hapa wananchi wanahofia kuwa huenda mipango hiyo imeanza siku nyingi.kwa kuwa mbatia amezingatia mslahi ya kuingia mbungeni baada ya kushindwa ubunge kwa kura na kwa kesi ni bora achague kuachia ngazi ya uenyekiti taifa ndani ya nccr vinginevyo kafulila mwingine ataibuka kudai kuwa nccr ni ccm -b.hiyo hekima ilitumika na kumusaidia sana mhe haji duni ambaye baada ya kuteuliwa kuwa waziri aliamua kuachia ngazi nafasi ya naibu katibu mkuu na kuepuka mgongano ndani ya cuf ,lakini seif alikiuka kanuni hii na kukumbwa na msukosuko hadi kumega cuf na kuundwa adc.
Wananchi wa sasa wamezinduka na huwezi kuwalaghai na viongozi tunaweza kujikuta katika matatizo makubwa kama tutaendekeza kutumiwa na ccm huku nchi inaendelea kuliwa na wala rushwa ambao wameanza kukamatwa!!!
Ingekuwa busara kwa mbatia kumupongeza mhe wenje kwa hoja yake badala ya kumutisha kama wakoloni walivyofanya huko nyuma.
ni seme kweli kutoka moyoni mwangu kuwa sina imani kama jemusi mbatia anaweza kukaa kikao na wapinzani na mambo yakaenda vizuri"
dkt paul hennry kyara (mweyekiti taifa sau 0755870601)
 
....huyu bwabwa ni kuachana nae tu. Bila shaka kapewa ubunge ili kuendeleza libeneke la ku-camroniana !!
 
Back
Top Bottom