October ndio utajua kama pesa kimeivuruga ccm au watu wanataka mabadiliko ccm ndio kwaheri jiandaeni kuwa wapinzaniMagamba ndio hayooooo.chama kitabaki saaafi bila makundi. Pesa zilikuwa zinavuruga wakwende tu. Watabaki wenye imani na chama na sio mtu
Tupe chanzo cha hbr!!
Ina maana ccm wote mafisadi??maana kila anayekimbia huko ni fisadi.Jee serikali ya chama gani imeshindwa kuondoa huo ufisadi ktk jamiii?Fisadi hachangamani ila na fisadi mwenzake
CRDB anaakil sana sasa kule singida jamaa ananguvu sana kwa mara ya kwanza singida itatoa wabunge weng nje ya ccm
Huyu naende moja kwa moja.alichelewaMsindi ana nguvu? Mbona ameangushwa ubunge na Mmama Salome 2010, na Jana Tu amepigwa chini kwenye kura za maoni Mkalama!