Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,056
- 10,342
hesabati nzuri sana.... rahisi... nimeipendaJk ni mwenyekiti wa ccm taifa=na amiri jeshi mkuu kwa hiyo Kingu ni mwenyekiti wa ccm mkoa=na amiri jeshi wa mkoa.
hesabati nzuri sana.... rahisi... nimeipendaJk ni mwenyekiti wa ccm taifa=na amiri jeshi mkuu kwa hiyo Kingu ni mwenyekiti wa ccm mkoa=na amiri jeshi wa mkoa.
Kuna ubaya gani baba (CCM) kuwachapa wanawe (polisi)?Kumbe na polisi huchapwa!
Source ITV
Hivi kumbe hata wenyeviti wa vyama nao wanatumia madaraka yao kuiwajibisha dora kama mwenyekiti wa ccm mkoa wa morogoro (Mr. Kingu) kumchapa askari wa usalama barabarani kisa kasimamishwa hii imekaaje jamani
Hapa nimecheka sana.
Baada ya kisa mkasa. Askari wamezowea
kutupiga bila ya kuchukuliwa hatua.
Nimefurahi kuwa kuna mtu anayethubutu
kuwapiga na wao bila ya kuchukuliwa hatua.
Hongera Mkuu wa CCM mkoa.
******.=MasaburiNi aibu kubwa kwa jeshi la polisi, pia mkome kwani hii ndo faida ya kunyenyekea na kusikiliza kundi la watu wachache wenye itikadi fulani kwa ajili ya tamaa vijipesa vichache na vyeo, kwa maslahi yao binafsi na kuwafanya wawatumie kadri wanavyotaka na bado watawashika hadi ******.
Sheria za barabarani zipo wazi kwa watumiaji wote. Inajulikana wazi kwamba kama dereva au mtu yeyote yule akivunja sheria za barabarani anachukuliwa hatua za kisheria. Lakin cha kusikitisha huyu mwenyekiti wa CCM alikutwa ndan ya gar lenye makosa na polisi aliamuru gar ipelekwe kituon lakin cha ajab mwenyekit aligoma na kumpiga trafki,jaman huu ni USTAARABU?