MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
CCM mmelikoroga, mlinywe sasa!
Nape ananikumbusha yule waziri wa ulinzi wa Sadam,alikuwa anapiga propaganda mpaka dakika ya mwisho Wamarekani wanaingia vitani Iraq.
Nijuavyo mwenye kiti wa CCM Arusha ni Monaban sivyo mkuu?
Ila baada ya kutamka hayo alimalizia kwa kusema CHADEMA
Ila baada ya kutamka hayo alimalizia kwa kusema CHADEMA
Nimelazimika kuandika baada ya kuona mwanachama mpya kutoka CCM, aliyekuwa katibu mwenezi wa mkoa wa ccm akisema CDM ndo mpango mzima kwa sasa nikajiuliza hiki ni chama gani katika nchi gani?!!
Na hapa pia nimeona watu wengi wakiandika hicho kitu najiuliza CDM ni mdudu gani?!!
Tusiwe wajinga wa kulazimisha vifupi vya maneno ambavyo havipo??
Kisha akasema, peoooooples!!
Mkuu, huwa nashindwa kuelewa watu wanaofupisha neno ambalo tayari ni kifupi cha maneno. Na wako wengi sana hapa jamvini.
Kwao wao yote ni sawa/si shida.
Hili ni tatizo mpaka hata kwa viongozi waandamizi wa CHADEMA, wanashindwa kuelewa kuwa neno CHADEMA tayari ni kifupisho cha Chama cha Maendeleo na Demokrasia.Nimeona mabandiko kadhaa ya makada wa CHADEMA huku wakitumia CDM,hawako makini kabisa maana huwezi kufupisha neno ambalo lishafupishwa labda kama unamuandikia demu wako.