Ryaro wa Ryaro
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 2,659
- 1,422
Watajutia siasa za Chuki walizozipandikiza ndani ya Li-chama Lao Lenye Kulindana.
Alsahaf at work. Nyumba inaungua wewe unashangilia?!
mmh!! wewe lichenge liadilifu kweli?Waache waende zao. CCM ina hazina ya watu wasafi na waadilifu.
Waache waende zao. CCM ina hazina ya watu wasafi na waadilifu.
mkuu embu nitajie mwadilifu ndani ya ccm hata mmoja hususani wale top 10
hakika unachokesema ni ukweli mtupu.Waache waende zao. CCM ina hazina ya watu wasafi na waadilifu.
Waache waende zao. CCM ina hazina ya watu wasafi na waadilifu.
Subirini kipigo kitakatifu October 25
Hao wajiuzuru tu yakhe, CCM inajua kinachoendelea/kitachoendelea kwa ccm mikoa ya kilimanjaro na arusha. wakitaka wajuizuru wote kwa pamoja au wapangiane ratiba mmojammoja kila siku sawa tu. Lakini mwenyeakili anajua kwamba hadi sasa ccm haijapoteza hata wanachama 1000 kati ya wanachama zaidi ya milioni 6 nchi nzima.
No wonder Ni Hot Lady.
mkuu embu nitajie mwadilifu ndani ya ccm hata mmoja hususani wale top 10
haya tutaonaSubirini kipigo kitakatifu October 25
Hao wajiuzuru tu yakhe, CCM inajua kinachoendelea/kitachoendelea kwa ccm mikoa ya kilimanjaro na arusha. wakitaka wajuizuru wote kwa pamoja au wapangiane ratiba mmojammoja kila siku sawa tu. Lakini mwenyeakili anajua kwamba hadi sasa ccm haijapoteza hata wanachama 1000 kati ya wanachama zaidi ya milioni 6 nchi nzima.
Na David Mathayo, Rose Migiro nkMwenyekiti wa CCM wa Kata ya Kighare, Usangi, wilaya ya Mwanga huko mkoani Kilimanjaro Abdallah Kiluvia ameamua kujiuzuru nafasi ya Uenyekiti wa CCM wa eneo hilo kwa madai ya kuchoshwa na siasa chafu za CCM na Ukandamizaji wa hali ya juu ndani ya CCM kuanzia ngazi ya juu mpaka ya chini kabisa.
Tayari katibu wa CCM wa eneo hilo Mr.Gaga amethibitisha hilo kwa kukiri kupokea barua ya kujiuzulu mwenyekiti wake.
Mpaka sasa haijafahamika anataka kuhamia chama gani ila tetesi zinasema siku ya Jumatatu atasema Chama anachotaka kuhamia mara atakapofanya kikao na wazee wa huko Usangi.
Mwenyekiti huyo alikuwa ni mtu mwenye ushawishi mkubwa sana kisiasa katika wilaya ya Mwanga, na kujiuzuru kwake huenda kukachangia kwa sehemu kubwa sana CCM kupoteza viti vya udiwani na ubunge katika jimbo la Mwanga kwa mara ya kwanza toka kupata uhuru
Eneo la Usangi ndio mahali ambako wanasiasa wengi wa siku nyingi wa TANU na CCM katika mkoa wa Kilimanjaro wanatokea akiwemo Marehemu Peter Kisumo alizaliwa, kuisha na kuzikwa jana. Pia mbunge wa sasa wa Mwanga, Professa Maghembe anatokea eneo hilo na Pia hata Waziri mkuu mstaafu Cleopa Msuya anatokea pia hapo Usangi.