DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 1,495
- 2,740
Umoja wa vijana wa CCM mkoa wa Kagera wametoa onyo kwa watu wanaotumia mitandao kumtukana na kumbeza Rais Samia pamoja na wasaidizi wake kuwa muda wao kuendelea kufanya hivyo sasa umekwisha.
Onyo hilo limetolewa na mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera Faris Buruhan wakati wa ziara yake wilayani Ngara alipokutana na viongozi pamoja na wananchi katika mamlaka ya mji mdogo wa Rulenge Aprili 16, Mwaka huu.
Amesema kuwa kumekuwepo na tabia ya watu wanaotumia mitandao kumchafua Rais Samia pamoja na viongozi wengi huku wengine wakiwa ni miongoni mwa viongozi wa CCM ambapo amelitaka jeshi la polisi kutowatafuta watu hao pindi watakapopotezwa.
=========================Chairperson of UVCCM Kagera, Faris Buruhan address that the police should not bother to look for those who insult the President online incase they go missing.
The CCM youth union in the Kagera region has issued a warning to individuals using social media to insult and abuse the President Samia and her aides, stating that their time to continue doing so has come to an end.
The warning was issued by the Chairperson of UVCCM Kagera, Faris Buruhan, during his visit to Ngara district where he met with leaders and residents in the jurisdiction of the Rulenge township on April 16, this year.
He mentioned that there has been a trend of people using social media to tarnish the image of President Samia and other leaders, some of whom are within the ranks of the CCM. He urged the police not to search for these individuals should they go missing.
However, the public has reacted strongly, interpreting this statement as an attempt to suppress freedom of expression and public opinion. Many view it as a government official issuing a threat to the public, raising concerns that the government may be involved in the cases of several prominent individuals who have gone missing recently, including journalists and opposition figures.
- Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
- Nchimbi apinga kauli ya Mwenyekiti wa UVCCM Kagera aliyeahidi "kuwapoteza" wakosoaji wa serikali
Onyo hilo limetolewa na mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera Faris Buruhan wakati wa ziara yake wilayani Ngara alipokutana na viongozi pamoja na wananchi katika mamlaka ya mji mdogo wa Rulenge Aprili 16, Mwaka huu.
Amesema kuwa kumekuwepo na tabia ya watu wanaotumia mitandao kumchafua Rais Samia pamoja na viongozi wengi huku wengine wakiwa ni miongoni mwa viongozi wa CCM ambapo amelitaka jeshi la polisi kutowatafuta watu hao pindi watakapopotezwa.
=========================
The CCM youth union in the Kagera region has issued a warning to individuals using social media to insult and abuse the President Samia and her aides, stating that their time to continue doing so has come to an end.
The warning was issued by the Chairperson of UVCCM Kagera, Faris Buruhan, during his visit to Ngara district where he met with leaders and residents in the jurisdiction of the Rulenge township on April 16, this year.
He mentioned that there has been a trend of people using social media to tarnish the image of President Samia and other leaders, some of whom are within the ranks of the CCM. He urged the police not to search for these individuals should they go missing.
However, the public has reacted strongly, interpreting this statement as an attempt to suppress freedom of expression and public opinion. Many view it as a government official issuing a threat to the public, raising concerns that the government may be involved in the cases of several prominent individuals who have gone missing recently, including journalists and opposition figures.
Pia soma- Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
- Nchimbi apinga kauli ya Mwenyekiti wa UVCCM Kagera aliyeahidi "kuwapoteza" wakosoaji wa serikali