matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,225
- 3,944
Huyo mwenyekiti kachanganyikiwa ana hamu ya kulala rumande. Private schools ni wezi hakuna cha maana wanachotoa kinachogharimu million 2 wanaibia wananchi tu.
Wafate ada za serikali hawataki wafunge shule tutawapeleka watoto wetu shule za kata maana walimu wameshakuwa wengi.
Wafate ada za serikali hawataki wafunge shule tutawapeleka watoto wetu shule za kata maana walimu wameshakuwa wengi.