momentoftruth
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 1,943
- 1,967
Pole sana Mkuu daahNimefanikiwa, dah maisha haya, amefariki
Pole sana Mkuu daahNimefanikiwa, dah maisha haya, amefariki
Pole sana. Sote tupo njia moja ni yeye tu katangulia. Mungu amlaze pemaNimefanikiwa, ndugu yangu amefariki, nimevurugwa
pole mkuu.Nimefanikiwa, ndugu yangu amefariki, nimevurugwa
Sijui hata nisemeje, nikitoka mm anafata yeye, yeye ndio was mwisho, bado mdogo, dah inaniuma sana, maisha hayaPole sana. Sote tupo njia moja ni yeye tu katangulia. Mungu amlaze pema
Kwa faida ya wengine ni nini kimetokea au alipanda hizi IT?Sijui hata nisemeje, nikitoka mm anafata yeye, yeye ndio was mwisho, bado mdogo, dah inaniuma sana, maisha haya
"Kila nafsi itaonja mauti, na hakika mambo yalivyo mtapewa ujira wenu kamili siku ya kiama, na yeyote atakaye epushwa na moto na akaingizwa peponi basi huyo amefaulu, na hayakuwa maisha ya dunia isipokuwa ni starehe ya udanganyifu."Sijui hata nisemeje, nikitoka mm anafata yeye, yeye ndio was mwisho, bado mdogo, dah inaniuma sana, maisha haya
😔😔😔😔😥😥😥 halooo pole sana ndugu, poleni sana, mungu awape nguvu sana kwenye hichi kipindi.Nimefanikiwa, ndugu yangu amefariki, nimevurugwa
Pole sana mkuuAmefariki
I told youNimefanikiwa, ndugu yangu amefariki, nimevurugwa
IdiotJifunze kuheshimu mawazo wa watu sometimes haikupunguzii kitu.
Uncivilised nyaniIdiot
Mimi nasoma tu ila comment yako nimeisoma kiundani.Mkuu pole sana kwa msiba ulioupata.
Mungu akupe wewe na wafiwa wote roho ya ustahmilivu katika kipindi hichi kigumu.
Japo taarifa rasmi ya ajali haijatoka mpaka sasa ila itakapotoka tutajua mbivu na mbichi