MR.NOMA
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 338
- 502
Nimepata taarifa zisizo rasmi kutoka kwa mdogo wangu aliyemaliza kidato cha nne na kutusua vizuri tu katika mtihani wake, kuwa tayari majina ya waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano 2014 yameshatoka,yeye amesikia watu wakiwa wanazungumzia, sasa ameniomba nimtaftie na ajue ni shule gani kapangiwa.tafadhali naomba mwenye taarifa sahihi atujuze wana jukwaa.