Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,007
- 5,446
Wajuba wasalaam!!!
hakika mapenzi yamejaa maajabu (japo si mageni kwa wengine) sijui labda niliwahi kuoa kabala ya kuwafahamu hawa viumbe?? (expirence)
kuna kipindi kama cha mwezi au miezi miwili nili share habari za kua nimepata binti anahitaji penzi la siri
Sasa ukweli ni kwamba hisia zangu hazikua za uongo bana kumbe huyu binti aliyehitaji siri alikua na mchumba sijui mpenzi wake ambaye juzi kati jamaa kaenda kutoa mahari na vikao vya harusi vinaanza ikiwa mimi na yeye bado hatuja achana, yaan nawaza miimi namchakata kisawa sawa bila kugharamia alafu kumbe kuna mwamba mwenzangu anagharamia mpaka anaamua kuoa kabisa🤔🤔...Aiseeeh inauma... Sikutegemea ka ntakuja mtendea msela mwenzangu hivi japo nilikua sijui... na nikicheki lazima kwenye sherehe yao nienda daaah ...
kwakweli mi nime tendwa nikafikiri ntapata aliyetulia kwa staili hii kuoa hapana nimeghairi maana nna mwingine nae kila siku anamkana mchumba ake wakati nae kishalipiwa mahari mwezi uliopita mwishoni na wote hawa ni ma church girl and lady.
Sasa kwann nyinyi wanawake mnakubali kuolewa na watu msio wapenda?? kwann mnapoamua kuolewa hammalizi mambo yenu yoote?
it means hawa wanawake naweza endelea wachakata hata wakiwa kwenye ndoa zao japo sina michezo hio...
Ila Dar wanaume wanaume wanaume wanawake sio Binadamu daaaaah🤒🤒
hakika mapenzi yamejaa maajabu (japo si mageni kwa wengine) sijui labda niliwahi kuoa kabala ya kuwafahamu hawa viumbe?? (expirence)
kuna kipindi kama cha mwezi au miezi miwili nili share habari za kua nimepata binti anahitaji penzi la siri
Wasalaam;
Katika harakati zangu na changamoto za mambo ya ndoa si nikalengeshwa bwana si unamuona binti flani hana MTU mcheshi, mwenye adabu, anapendwa na kila mtu na wa mama wengi wangetamani watoto ama ndugu zao wa kiume wamuoe.
Nilipozitazama zile sifa nikajiridhisha ni za kweli. Kidume nikajitosa nika mwaga Sera kumbe mtoto alikua ananitamani kitambo jinsi nilivyokua naishi na x wife wangu.
hapakua na hiyana zaidi ya kusema yes tena big yes.
Tumeanza mahusiano nimegundua ni msiri saana anaogopa hata rafiki yake wa karibu kujua uhusiano wetu.
Nimeshtuka mpaka nawaza pengine ndo mana anasifika ametulia au ni vip hata sielewi.
Anajua Ku handle mwanamume vilivyo japo anaonesha si mzoefu saaana kwenye mambo yetu (X) sa sielewi ntashushiwa kitu chenye ncha Kali tena kama alichonichoma nachoX wife wangu au nitulie na huyu anaesemwa vizuri na ulimwengu mzima japo ana mapenzi ya siri mnoo
Sasa ukweli ni kwamba hisia zangu hazikua za uongo bana kumbe huyu binti aliyehitaji siri alikua na mchumba sijui mpenzi wake ambaye juzi kati jamaa kaenda kutoa mahari na vikao vya harusi vinaanza ikiwa mimi na yeye bado hatuja achana, yaan nawaza miimi namchakata kisawa sawa bila kugharamia alafu kumbe kuna mwamba mwenzangu anagharamia mpaka anaamua kuoa kabisa🤔🤔...Aiseeeh inauma... Sikutegemea ka ntakuja mtendea msela mwenzangu hivi japo nilikua sijui... na nikicheki lazima kwenye sherehe yao nienda daaah ...
kwakweli mi nime tendwa nikafikiri ntapata aliyetulia kwa staili hii kuoa hapana nimeghairi maana nna mwingine nae kila siku anamkana mchumba ake wakati nae kishalipiwa mahari mwezi uliopita mwishoni na wote hawa ni ma church girl and lady.
Sasa kwann nyinyi wanawake mnakubali kuolewa na watu msio wapenda?? kwann mnapoamua kuolewa hammalizi mambo yenu yoote?
it means hawa wanawake naweza endelea wachakata hata wakiwa kwenye ndoa zao japo sina michezo hio...
Ila Dar wanaume wanaume wanaume wanawake sio Binadamu daaaaah🤒🤒