Kwa yeyote mwenye majina ya ngazi ya cheti au diploma au yote kwa pamoja tuwekeeni hapa please msaada tafadhari.NAOMBA MTUSAIDIE JAMANI MWENYE HAYA MAJINA.NILIOMBA LAKINI SIJUI KAMA NIMEKUBALIWA MAANA WEBSITE YA ELIMU HAIFUNGUKI!
Kwa yeyote mwenye majina ya ngazi ya cheti au diploma au yote kwa pamoja tuwekeeni hapa please msaada tafadhari.NAOMBA MTUSAIDIE JAMANI MWENYE HAYA MAJINA.NILIOMBA LAKINI SIJUI KAMA NIMEKUBALIWA MAANA WEBSITE YA ELIMU HAIFUNGUKI!
ni PM jinalako nikutumie, ofa 1 tu.
Kwa yeyote mwenye majina ya ngazi ya cheti au diploma au yote kwa pamoja tuwekeeni hapa please msaada tafadhari
hata PDF haifunguki kweli mwaka wa kufa nyani