Mwenye majina ya waliochaguliwa Ualimu msaada please

DOMA

JF-Expert Member
Mar 17, 2011
944
365
Kwa yeyote mwenye majina ya ngazi ya cheti au diploma au yote kwa pamoja tuwekeeni hapa please msaada tafadhari
 
jaman MOE mbona hamfunguki aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaarrrrrrrghhhhhhhhhhhhhhhhhhh
:A S cry:
 
Acheni kuhangaika na majina jamani hata madogo wenyewe walishagoma. Wameapa hawatatia mguu katika chuo chochote! Mwambieni Waziri Kawambwa na Mulugo wakafundishe nawaambiwa eti ni walimu wa sayansi wale.
 
Back
Top Bottom