Mwenye kujua mishahara ya graduate kwenye mabank

kwani Bakharesa hajasoma? Kama kusoma sio issue watoto wake asingewasomesha! Let it be you!

Akili zile zile za ajabu ajabu!

Sikusema Bakhresa hakusoma, lkn wote twajua ana elimu kwani tunaona OUTPUT. Nilichokuwa naki-point ni kwa nini Business Masters wa vyeti hawana mafanikio kama yake?

Au kwa lugha nyingine, kama unahitaji kuwa graduate kufanikiwa je unahitaji kuwa nani ili uwe kama Bakhresa?

By the way, siamini km Bakhresa kwa akili ile nayoijua mimi anayo eti ataishia kuwasomesha watoto wake, naamini atawapa na elimu pia. Akiishia kuwasomesha tu watakuwa kama most of you, failures! Kugongana na mavyeti yenu kwenye milango ya waajiri bila kujiuliza anayewaajiri ana vyeti gani.

Usishindwe kunielewa ukaacha kusoma bure. Nahitaji usome, na ikiwa utasoma na ukabahatika kuelimika, nitakuhitaji hapo baadaye.
 
Mndengereko mieeeeeee! Nitafilisika kila kitu lakini siyo MANENO.......KILA LA HERI Mzee wa mishemishe za vijijini..

Yes I am. Au ulitaka nimsifie huyu anayesema mimi natukana ilhali yeye anaporomosha mineno michafu dhidi ya wazazi wangu?
 
Woote mnapaprika,muuliza swali kataka kujua average salary anayopata graduate anapoanza banking carrier.....

Personally,niko kwenye bank ya nne hivi sasa,nilipoanza banking carrier miaka sita iliyopita,gross yangu ilikua 440,000,benki ya pili gross yangu ilikua 1000,000(hapa fresshers walikua wakilipwa gross ya 688,889),benki ya tatu nikawa nalipwa gross ya 2,200,000(hapa freshers walikua wakilipwa gross ya 700,000)...huku niliko now,niko sawa,ila fresshers wanaanzia na net ya 1,053,000)....

Viwango vinatofautiana mdogo wangu...bt kwa average ni kama kuanzia net ya 500,000 hadi 1,000,000...popote waweza angukia according to bank utakayoanzia.

Hint:
Huwezi kukua katika benk kwa haraka(cheo na salary pia) kama hutahama na kwenda benki nyingine...Ndio maana banjking sector ina labour turnover kubwa kuliko industry yeyote hapa nchini....

Kaza buti,achana na haters....si lazima wote tukauze ndizi,si lazima wote tuwe wafanyabiashara...na si lazima wote tuwe madereva pia.....

Mkuu Access bank,loan officer ambaye anafanya kazi ya loan officer anaanzia mshahara wa 180,000/=........mwambieni tu aelewe anakoelekea na sio kumponda...

Haya ndio majibu niliyokuwa nategemea kutoka kwa wakuu humu ndani, nadhani mwanzisha thread alikuwa anategemea haya majibu,ila naona wengine wamekuja na mawazo mengine sana, na kila graduate akiuliza kiasi gani anapewa basi hajui kazi au anategemea vyeti na sio akili.....Haipendezi kabisaa
 
Umelala mbele eeh?

Mnakuwa watumwa wa vyeti na kuishi kwa illusions badala ya kuitumia elimu iwaletee manufaa. Maprofesa na madokta wangapi wanaajiriwa na wafanyabiashara ambao waliishia darasa la saba.

Kids, VISION + ENTHUSIASM = BUSINESS SUCCESS

Elimu inatafutwa ili tuitumie kufanikisha kazi zetu na sio ku-determine kiasi gani tulipwe. Hakuna mtu anaanzisha enterprise yake kwa lengo la kuajiri. Kuajiri si lengo, lengo ni kupata faida kwa hiyo ajira si haki yetu kutoka kwa waajiri, bali ni elimu zetu ni jembe la kuchukulia stahili zetu toka kwao.

Huu ujamaa usitufanye tuwe wajinga na kuamini kuwa unatakiwa usome upate cheti uajiriwe. In fact unatakiwa usome, uzalishe, upate stahiki yako.

Kwa herini, nawaachia ukumbi wenu muendelee kuulizana mishahara ya Bachelor, Masters na PhD. Japo ningefurahi kama kuna mmoja wenu angeniambia ni kwa nini walimu na maprofesa wa biashara hawana biashara kama Dewji.

Haya yote umesema wewe, ndio maana toka mwanzoni natofautiana na wewe kwamba ina maana mtu akiuliza amount anategemea cheti chake na hajui kazi??je tunaweza kujuwa uwezo wa mwanzisha thread au huyo mtu anayeuliza amount??Nadhani ni kutofautiana na sio kila mtu anayetaka kufahamu something basi hajui kitu, wengi wanaupeo na wamefanya kazi, nowdays hamna mtu atakaye kuajiri kwa kutumia cheti chako

Still sitokubaliana na wewe kwa point yako ya mtu kuuliza mishahara......Ni vizuri kushindana kwa hoja nadhani na challenge...

Lets say mtu wa Masters ameomba msaada mshahara gani atalipwa na hapo hajasema ana experience ya mda gani je hapo still utasema labda na yeye anaangalia cheti chake??Ni bora kufikiria zaidi.....
 
You are wrong.....

Fact ni kwamba sio wote hutaka kufanya biashara........na kuna sababu kama milioni za kwa nini.Labda uanzishe thread ili kupata uhakika zaidi.

Kila mtu ana idea na maisha wengine wanategemea kuajiriwa hawana mawazo ya biashara wala biashara haipo kichwani, ndio maana mwanzo nilimwambia bwana mkubwa kwamba sio kila kitu mtu anachofanya basi mwingine afanye hivyo hivyo......
 
Uulizwe wewe Mr. Intellectual kama uko serious.

Hata mimi nataka kujua Banking carrier ndio nini?

Mkuu wangu spelling mistake nadhani hata wewe hapo juu kidogo uliuliza swali hali ku make sense, so ni vizuri kama ungemrekebisha hapo....simple then tuendelee na mada
 
Haya ndio majibu niliyokuwa nategemea kutoka kwa wakuu humu ndani, nadhani mwanzisha thread alikuwa anategemea haya majibu,ila naona wengine wamekuja na mawazo mengine sana, na kila graduate akiuliza kiasi gani anapewa basi hajui kazi au anategemea vyeti na sio akili.....Haipendezi kabisaa

Well said PAPIZO,huyu jamaa anafikiri woote watakuja kuwa wafanyabiashara.....that is veeery wrong....haitakuja kutokea na haijawah kutokea kwamba katika jamii fllan eti watu woote walifanya kitu kimoja.....yeye kama anaelewa mafanikio yake ni kufanya biashara,ni vema,na huyu anayefikiri akiajiriwa atafanikiwa...yote heri pia...huu ni umbumbu na ulevi wa kujifanya kwamba anao weledi mkubwa sana.Kama kweli yeye ni nguli,atuambie yeye ni nani katika ulimwengu wa biashara,ametumia nick name,pengine yeye ni Manji,au ni Mengi,au ni mmiliki wa bajaj mbili hapa mjini.....sidhani,kwa majigambo yake,nadiriki kusema ni mlevi wa biashara na si mfanya biashara.
 
Unanionea tu, mimi hata sijamtukana mtu. Nimesema tu kwa mujibu wa matendo na haiba zao. Wao ndio wametukana.

Labda nikuulize mkuu: Kama Mr.A akichukua kiatu chake na kuweka mezani wakati tunakula, na mimi nikakichukua nikakitupa chini na kusema 'PUMBAV!', nani kati yetu ametukana? Yeye aliyefanya UPUMBAVU au mimi niliyesema alichokifanya?

Man acha wenge, point imeeleweka.:closed_2:
 
BIG UP TO KIRANGA AND MWANA MTOKA PABAYA,Tatizo la watanzania wengi ni kutotaka kukubaliana na ukweli,walichokuwa wanaongea wakuu hapo juu ni cha ukweli kabsa ila mtu akiambiwa anaona anakandiwa,infact elimu syo makaratasi,elimu ni zoezi la kuzoesha ubongo uweze kupambanua vitu kwa haraka na ufasaha zaidi,lakini tambua kuna elimu dunia na elimu darasa,endapo utatumia aina zote mbili za elimu utafanikiwa kwa mda mfupi mno tofauti na ukitumia moja,mimi nachoamini kle MR KIRANGA NA MWANA MTOKA PABAYA wanachokisema wapo fasaha kabsa,biashara ndio humtoa mtu kwenye lundo la umaskini,ila tatizo la vjana wa kitanzania hasa wasomi na kwamba hatoweza leo kwenda moro kuchukua mchele na kuuza pale kkoo eti kisa yeye ni msomi,ulimbukeni wa ujana unatupeleka spo,tutafute hela angali tukiwa bdo wachanga,REMEMBER BUSINESS IS A GRADUAL CHANGE,huwezi anza leo huna kesho unacho kupitiliza,ALIKO DANGOTE alisema kwenye MTV CRIBS,vijana wengi wa kiafrika wanapenda mafanikio ya haraka jambo ambalo syo rahisi kutokea.mimi bnafsi ni 1ST YEAR STUDENT AT UDSM,napenda sana biashara,kwa sababu najua watu waliofanikiwa ndani na nje ya nchi kwa biashara,asanteni

Wale wale again hivi kuna mtu hapa ameingia na kusema Elimu ni Makaratasi nadhani tunapotosha hii mada na inatoka nje kabisaaa, Hapa tunazungumzia kuhusu mwanzisha thread kauliza amount ni kiasi gani, Je kwa vile ameuliza ina maana hajui kazi??au hana uzoefu au anategemea na Makaratasi??Ndio maana still nakataa hii point ya mtu akiuliza amount ya pesa basi hajui kazi,hamna mtu anawez akuingia kichwa kichwa kwenye sehemu yoyote ile lazima ujue upeo na sehemu kwanza....

Biashara haha mkuu wangu bana na wewe unaushari mambo ya biashara, again sio kila mtu ana hobby ya kufanya biashara, ukiambiwa ucheze mpira utaenda kucheza kwa vile unalipa?? au unaupenda??so nadhani tuweke mada sawa na tusipindishe maneno na tofauti........

Hii kitu nimeiona sana na ipo akilini mwa watu mtu akiuliza amount basi hajui kazi au anategemea vyeti vyake nadhani wengi mpo wrong.......
 
simply hapa kuna watu hawakwenda shule au walikwama katikati system ikawatupa nje af kama wanaona wivu hivi,,..

nawashauri wote mjiamini coz elimu inapatikana kwa njia mbili 1. darasani, 2. mtaani(experience)!!

graduate nenda bank ukafanye kazi, bank wanapandisha pay kadiri unavofanya kazi na unavokuwa nao kwa mda mrefu

note: hamna bank manager ambaye ni graduate, na hamna bank manager ambaye hakwenda shule na pia si kwamba watu wote wenye lyf nzuri hapa mjini ni ma-bank manager.

Nadhani point yako inaeleweka me napenda hasa tukawa sawa, na sio kwa vile mtu fulani yupo hivi wote wawe hivyo, kila mtu anapenda anachofanya, na sio wote wanaotoka chuo hawana kitu kichwani.....
 
Kuna chalii anaitwa MWANA MTOKA PABAYA anatukana balaa, ukute hata yeye ni Clerk sehemu flani au Officer wa kuishikwa mkono. Ndo hua tabia zao alipo si kutokana na elimu bali elimu na kujamiiana(sicialize) kwa wazazi wake.

Nadhani tungejuwa Elimu yake ingekuwa vizuri zaidi, then tujue upeo wake upo vipi, msomi hayajui matusi wala kejeli, wengi wameelimika.....
 
Nadhani tungejuwa Elimu yake ingekuwa vizuri zaidi, then tujue upeo wake upo vipi, msomi hayajui matusi wala kejeli, wengi wameelimika.....

Usitie shaka mkuu...I believe ni wa kawaida sana....type hizo hawanaga zaidi ya maneno na majigambo tuu.....
 
Well said PAPIZO,huyu jamaa anafikiri woote watakuja kuwa wafanyabiashara.....that is veeery wrong....haitakuja kutokea na haijawah kutokea kwamba katika jamii fllan eti watu woote walifanya kitu kimoja.....yeye kama anaelewa mafanikio yake ni kufanya biashara,ni vema,na huyu anayefikiri akiajiriwa atafanikiwa...yote heri pia...huu ni umbumbu na ulevi wa kujifanya kwamba anao weledi mkubwa sana.Kama kweli yeye ni nguli,atuambie yeye ni nani katika ulimwengu wa biashara,ametumia nick name,pengine yeye ni Manji,au ni Mengi,au ni mmiliki wa bajaj mbili hapa mjini.....sidhani,kwa majigambo yake,nadiriki kusema ni mlevi wa biashara na si mfanya biashara.

Labda mtu aki apply kazi ya office basi anakuwa wrong na anapoteza mda bora kufanya biashara, nimeona mifano ya watu wanaacha kazi wanajaribu kufanya biashara na haziendi zinagoma so kila mtu akiingia huko itakuwa hatari, ila point yake ya kwamba mtu akiuliza amount ni kiasi gani then hajui kazi nadhani nitapingana nao kwa sababu nakataa na naona ni chuki binafsi, maana thread kibao nimeziona humu mtu akiingia na kuanzisha thread akiuliza jamani sehemu fulani wanalipa kiasi gani basi anashambuliwa hajui kazi, je wanajuwa uzoefu wa huyo mtu upo vipi??Wengine wavivu hata wa kusoma wanakurupuka tu, haipendezi maana kila mtu anapenda kufanikiwa na sio kukatishana tamaa ya maisha kwamba sijui anategemea cheti au hajui kazi.......

Pia wengine nimegundua chuki binafsi vyeti na elimu ya kudunduliza basi wakiona graduate anahitaji msaada wa kazi kwenye office wanajuwa kazi zinaweza kuota majani kutokana na elimu aliyokuwa nayo hiyo sehemu anajuwa lazima atapigwa chini.....
 
Usitie shaka mkuu...I believe ni wa kawaida sana....type hizo hawanaga zaidi ya maneno na majigambo tuu.....

Labda amemaliza Phd ameamua kufanya biashara kama anavyosema mwenyewe, hatuwezi kujua, najuwa watu wa namna hiyo wapoje, me napenda sana kushindana na mtu kwa points na sio kejeli au kuona labda anajuwa everything, hamna mtu anayejuwa everthing (hata mimi) ndio maana humu ndani tunaona maswali kila siku watu wanauliza wanahitaji kujua......
 
Umeuliza swali la kipuuzi kuliko mahitaji ya upuuzi ya nchi nzima. Mimi sikusema awe dereva, I was just advising him to think outside the box. Unapouliza GRADUATE analipwa kiasi gani ni dalili unaishi kwa illusions.

Kama mimi na wewe tukisoma mpaka darasa la saba, halafu tukaamua kuuza vitunguu, kesho akija mtu mwenye akili finyu kamaza huyu muanzisha mada na kuuliza "Graduate akiuza vitunguu anapata faida shilingi ngapi?" wapi katiba ya nchi inanizuia kumtukana?

Mimi sijui kuuma maneno bwana, ukileta ujinga nakupa za kichwa ubongo ukae sawa.

Mbona sijasikia JUHA yeyote akiuliza Graduate Rent or Coffin? Huu ndio ujinga unaowafanya Wakenya watamani kuja hapa. Mtu atalipa kodi ya nyumba kwa kiwango alichopanga mwenye nyumba. Mtu atapata mshahara kwa kiasi alichoona mwenye kumuajiri kuwa kinalingana na uzalishaji anaofanya.

Kuhusu biashara zangu usiwe na shida na lugha nayotumia. NAUZA MAJENEZA, tena una bahati nimeleta majeneza ya vichwa. Wahi upate moja uzike hicho kichwa chako kabla hakijakuletea matatizo

Mhhh! Kaaa! umempania.....! nimechokajeee na comments zako
 
Wakuu tujaribu kuelimika na tujaribu kufikiria vitu vya maana na sio kukatishana maisha, kila mtu lazima ajaribu maisha na maisha magumu sana so endapo mtu anapenda kujaribu au anahitaji kujua something ni vizuri zaidi akasaidiwa na kumuelimisha endapo anakuwa wrong na sio kumponda au kumkandia.....

Nadhani wengi wamepitia tabu so mtu kuuliza kwamba kiasi gani atapata endapo ata apply kazi fulani haimaanishi kama hana experience so ni better kabla ya kwenda straight na kuanza kusema mara anategemea vyeti hana elimu ya kutosha, hii tabia imezagaa sana, lazima tuwasaidie wadogo zetu ili na wenyewe waweze kufanikiwa.....

Haipendezi mtu kuwa na roho ya kibinafsi kwa vile upo vizuri au unafanya kazi basi ni wewe au (mimi) ndio basi nijiangaikie mwenyewe kivyangu no sio vizuri na bora tungeacha hii tabia kwa sababu.....

Sasa endapo tukimjibu huyu mwanzisha thread anategemea vyeti na ana elimu ya ku copy na ku paste je after hapo unaona kweli atafanikiwa au atakuwa katika hali gani hata kama ana uwezo wa kufanya kazi??ni bora kama inawezekana kumuuliza experience yake na endapo atasaidiwa nini atachofanya cha ziada........Na sio kukurupuka kujibu kejeri na maneno yasikuwa na muhimu.......
 
hawa madogo wanadhani mi nawachukia, la hasha!

Bila enthusiasm hakuna tunakokwenda. Huyu sijui ndio katoka chuoni sijui ndio anajikoki lkn ukipima mawazo yake ni hopeless case. Tumefikia sehemu tunaamini makaratasi zaidi ya kile tunachoweza kufanya.

Hii ni namna ya wasomi wasio na elimu ambao kwa akili zao wanafikiri watu hutakiwa wasome ili walipwe mshahara. Huu ni upuuzi, hamna jina lingine.

Na - declare interest, mimi sijafika chuo kikuu, niliishia sekondari tu maisha hayakunipa nafasi ya kuendelea kusoma, lkn napenda kuona watu wanasoma na kuelimika. Napenda waelimike kwa sababu, in near future, (5-7 yrs time) nakusudia ku-invest millions of tshs kwenye mradi ambao utahitaji watu wenye elimu kuufikisha napotaka. With this craps on job market, nitafeli.

Kama kuna mbumbumbu yeyote anaamini vyeti vyake ndio ukombozi kuliko his personal engagement basi awe wa kwanza kucomplain why is said bakhressa earning more than graduates (accountants, engineers, salesmen etc) he has employed.

Huu umbumbumbu hautawatoka kwa 'madesa' bali kwa kusoma vitabu. Mna madokta na maprofesa wangapi katika vyuo mnavyohitimu ambao maisha yao ni duni tu kulinganisha na watu waliojitoa kutumia akili zao na ubunifu?

duuh! I think i learn some thing!
 
Hawa magraduate wa sasa hivi kwa kweli vilaza sijapata ona
Na hii ni kwa sababu degree zao za ujanja janja wanawake za kitandani wanaume za kununua
Chuoni akili yao inawaza

Kugoma
Kushabikia chadema
Wakipata boom sasa utawaona wanavyojazana pale Atm mlimani city ku draw 5,000
Halafu sasa tabia yao moja ni kuwa waiwa pale chuoni na waki graduate wanaona kuwa wao ndio wasomi kuliko wote yaani wao ndio wao

siku hizi hata sisis wanaume tunapewa za kitandani hiyo haibagui sema lingine chupi dro*2
 
Back
Top Bottom