kwa kuangalia kwa makini nmeona kama hiyo background ni picha ya chumba tu kama zilivyo picha zingine japokua hiyo ni graphically designed, na hizo icons kwenye shelves na ubaoni ni kuzi lengesha tu. sizani kama kuna utaalam zaidi hapo hebu tungoje wazee graphics waje.
hiyo ni customized desktop ambayo inaweza fanywa na apps mbalimbali zinazofanya kazi hiyo.... desktop customizers, ngoja nta post desktop yangu muone pia nimecustomize lakini sio kwa mtindo huu alioonesha ndetichia
dah is it just a picture? Kwa kuziangalia kwa umakini hizo icon hazijakaa mstari ulionyooka zimekaa diagonal kidogo. Zinaonekana very customized. Sio rahisi uwe na background tu then uzipange hivo. Kutakua na kitu cha ziada
hili naweza amini je hiyo dizaini inaonekana advanced sana nini maana imenivutia balaa..
nimeikuta maeneo...
dah is it just a picture? Kwa kuziangalia kwa umakini hizo icon hazijakaa mstari ulionyooka zimekaa diagonal kidogo. Zinaonekana very customized. Sio rahisi uwe na background tu then uzipange hivo. Kutakua na kitu cha ziada
hyo ni background tuu. hzo icon kuonekana diagonal ni just drug n drop of icons kama ume uncheck Auto Arrange in desktop right click menu.
Hebu drag and drop zako tuone maana hio diagonal different ni ndogo sanaaaa hebu tengeneza nione ndo ntaamini
Hiyo ni Desktop Background hapo unaArrange hizo icons freely kwenye hizo shelf! right click desktop, view, toa/unmark 'auto arrange icons' na 'align icons to grid' ili uzipange mwenyewe baada ya kuweka Background kama hii,,
sina PC kwa sasa ningefanya hiyo kitu. em angalia mfano wa lehHebu drag and drop zako tuone maana hio diagonal different ni ndogo sanaaaa hebu tengeneza nione ndo ntaamini