Sitachoka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 3,030
- 1,305
Jamani ndg wanajamvi hili kwanini imekuwa ni ngumu sana kwa wananchi wa kawaida kuwa na mawasiliano ya viongozi wakuu wa serikali na hata kama kwa bahati mbaya ukiwa wanazo ukiwapigia hawapokei kwanini?
Nawaombeni kama kuna mtu atakuwa ana mawasiliano ya simu ya Mh. Freeman Mbowe plz tunaomba atuwekee hapa au kama mwenyewe Mh. Mbowe ataisoma hii topic atuwekee namba yake ya simu. Ahsante nawakilisha.
Nawaombeni kama kuna mtu atakuwa ana mawasiliano ya simu ya Mh. Freeman Mbowe plz tunaomba atuwekee hapa au kama mwenyewe Mh. Mbowe ataisoma hii topic atuwekee namba yake ya simu. Ahsante nawakilisha.