TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,514
- 11,277
Wakuu nimeona avatar ya mdau humu ndani inasema hivi:
"He walked on water; he turned water to wine; Healed the sick, Raised the dead and now he wants to be your candidate for president."
Sasa tatizo linakuja kuwa huyu Bwana anamzungumzia nani au ana maana gani hasa kwa maelezo haya?
Nawasilisha.
"He walked on water; he turned water to wine; Healed the sick, Raised the dead and now he wants to be your candidate for president."
Sasa tatizo linakuja kuwa huyu Bwana anamzungumzia nani au ana maana gani hasa kwa maelezo haya?
Nawasilisha.