SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,904
Ni strictly heterosexual.ehhhhhh?
Si unaweza kuwa introduced na vitu vingine hapo?
Homosexual sex?
Siendi tena aisee
Ni strictly heterosexual.ehhhhhh?
Si unaweza kuwa introduced na vitu vingine hapo?
Homosexual sex?
Siendi tena aisee
Sijawahi kufika ila nimesikia nyeti kidogo za huko kwa jamaa yangu mmoja mzungu alienda huko. Ali-plan akae 1 week lakini alirudi baada ya 6 months. Kuna mengi ya ajabu yanayoendelea hapo kwenye hekalu lao. Ndio maana kabla hujaenda ama hata ukifika tu hapo unafanyiwa HIV test. Alinieleza kuna watu toka Europe, US, China, Australia, UAE na kila kona ya dunia ambao wamelowea huko na hawataki kurudi. Ni ngono ya ajabu wakati wa deep meditation ndio inayoharibu watu akili hapo OSHO nasikia mizuka ikipanda tu basi ni patashika watu hupagawa na huendelea na ngono usiku mzima huku ukichagua/ukichaguliwa za kila aina hapo hekaluni.
ni strictly heterosexual.
hata mimi kwa hayo aliyonieleza huyu jamaa yangu mmmhhnn!! Siwezi kuanika kila kitu hapa but it's soooo tempting!! No wonder mkuu vuvuzela ameishupalia hiyo safari ya kwenda huko.
Hata mimi kwa hayo aliyonieleza huyu jamaa yangu mmmhhnn!! siwezi kuanika kila kitu hapa but it's soooo tempting!! No wonder mkuu Vuvuzela ameishupalia hiyo safari ya kwenda huko.
<br />mkuu kuna wanawake weusi huko??????
nasikia kuna mambo ya kishirikina hatari na unaweza potelea huko, na lolote linalokukuta hutakiwi kusimulia mtu mpaka aende aone mwenyewe
<br />
<br />
wapo wahindi weusi na wafilipino ndio wanauza mbun...
Hilo sio kweli. Jamaa amenieleza kuwa kuna watu toka kila kona ya dunia hii. Hakuna machangu doa wala sex workers hapo Osho. Wala kuuza hiyo kitu hairuhusiwi na wanaokwenda huko are people from all walks of life i.e. the rich, the middle class, tourists, doctors, engineers, lawyers, bankers, etc. etc.<br />
<br />
Wapo wahindi weusi na wafilipino ndio wanauza mbun...
Hilo la biashara sio kweli. Na hayo majamboz ya mizuka kupanda hufanyika katikati wakati wa ibada na sio baada ya ibadakumbe zinauzwa?sio bure za ibada???????
Preta nafikiri ungejitolea kwenda huko halafu uje utumwagie hapa jamvini, isijekuwa tunakosa uhondosasa na wewe unaanza kutubania......tueleze bana.......wengine tunaweza kwenda kujifunza machejo ya ziada......hicho kinachowafanya watu wasirudi ndio ninachokitaka