Mwenye Habari za OSHO Yoga/Meditation-Pune, India Tafadhali!!

VUVUZELA

JF-Expert Member
Jun 19, 2010
3,103
785
Natumaini wana JF wote muwazima. Mojawapo ya mambo yanayonivutia katika maisha ni kusafiri nchi, ama sehemu mbalimbali na kuiona dunia na kujifunza mengi. Vilevile napendelea sana mambo ya Yoga/Meditation. Kwa miaka kadhaa nimesikia habari za hili hekalu la OSHO kuleee kwenye mji wa Pune, India. Miaka miwili iliyopita nilidokezwa kidogo kuhusu haya mambo ya Yoga na meditation isiyokuwa na kifani ambayo haipatikani wala kutolewa sehemu nyingine yoyote duniani zaidi ya hapo kwenye hekalu kuu la OSHO, mjini Pune, India.
Nimefuatilia kwenye internet lakini information iliyopo is so vague....... yaani ya juu juu tu.
Nimejaribu kuulizia waliopata kufika huko kwenye mji wa Pune, India na kuhudhuria Yoga na Meditation ya OSHO lakini kila mtu hataki kunieleza ukweli ila wamenidokeza nikienda huko kuna uwezekano nikanogewa na kutorudi kwetu kwani maelfu ya watu wanaokwenda huko wengi wao hunogewa na hulowea huko na kusahau makwao. Wamekataa kabisa kutoa siri za huko ingawa wamekiri kuna mambo ya ajabu na mazuri sana lakini ni siri kubwa.
Sasa jamani kabla sijaenda huko naomba mwenye kujua habari za OSHO, Pune, India tafadhali anijuze, kwani najua JF ni kisima cha knowledge na hekima. Nawasilisha
Have a nice weekend!!
 
Dont go there, your life will never be the same
Gaga pleaseeeeeeeeeeeeeeeee naomba uniambie unachokijua, manake kila mtu ananipa majibu ya mkato. what's going on up there?
 
Ndio nini hiyo jamani, mnaojua semeni basi ili nasisia wengine tulozaliwa hapa tukasoma primary hapa shule ikageuka sekondary ya kata, tukaendelea, na tukajiunga na chuo cha kata ktk kata hii, kijiji hiki hiki na mkoa huu, tujue kidogo habari za huko dunia ingine.
 
hii kitu hata mimi imeanza kunivutia..........kuna nini huko......mbona kila mtu anakataza usiende lakini hakuna anayetoa sababu kwa nini usiende.....inakuwaje?
 
Hahahaha! Tafadhali usiende hautarudi jamani!...lol

Tujuze basi hata dondoo kunani huko OSHO?
Jamani kwa wale mliosoma India may be mnaweza kunijulisha kama mmewahi kufika Pune ama kama mnajua ama mmesikia lolote kuhusu OSHO. Msaada tafadhali
 
First time visitors pay 900 rupees for registration, HIV/Aids test, gate pass with digital photo and participation in the Welcome Morning. This does not include the actual daily entry sticker.

There is now a new spa facility in Basho which offers swimming, Jacuzzi, sauna, tennis and so on. The charge is 150 rupees per day. (about 3.25 USD / 2.50 EUR).
This is a place where you can simply relax and where you can also enjoy the company of visitors of all ages from over 100 countries. You can choose if you want to do something, or if you just want to rest, swim, meditate — or just to be.

You can learn simple Osho Active Meditations, techniques specifically designed for the contemporary over-charged mind and stress-impacted body.

You may like to nourish your body-mind-soul with a stunning selection of individual sessions, like bodywork and massage, and longer workshops and courses — all designed to help you become more aware of yourself.

Or perhaps experiment by learning new life skills and acquiring tools to take home, that will help you remain relaxed even in the busiest of workaday environments.
Source: osho.com
 
tujuze basi hata dondoo kunani huko osho?
Jamani kwa wale mliosoma india may be mnaweza kunijulisha kama mmewahi kufika pune ama kama mnajua ama mmesikia lolote kuhusu osho. Msaada tafadhali

mimi nashauri wewe nenda uje nataarifa kamili hapa
kama safi,na sisi tutaenda
 
maelezo yako Raj Patel ni mepesi sana ambayo sioni chembechembe za kufanya mtu asirudi nyumbani.....au kuna ya zaidi nyuma ya pazia?

Sijawahi kufika ila nimesikia nyeti kidogo za huko kwa jamaa yangu mmoja mzungu alienda huko. Ali-plan akae 1 week lakini alirudi baada ya 6 months. Kuna mengi ya ajabu yanayoendelea hapo kwenye hekalu lao. Ndio maana kabla hujaenda ama hata ukifika tu hapo unafanyiwa HIV test. Alinieleza kuna watu toka Europe, US, China, Australia, UAE na kila kona ya dunia ambao wamelowea huko na hawataki kurudi. Ni ngono ya ajabu wakati wa deep meditation ndio inayoharibu watu akili hapo OSHO nasikia mizuka ikipanda tu basi ni patashika watu hupagawa na huendelea na ngono usiku mzima huku ukichagua/ukichaguliwa za kila aina hapo hekaluni.
 
sijawahi kufika ila nimesikia nyeti kidogo za huko kwa jamaa yangu mmoja mzungu alienda huko. Ali-plan akae 1 week lakini alirudi baada ya 6 months. Kuna mengi ya ajabu yanayoendelea hapo kwenye hekalu lao. Ndio maana kabla hujaenda ama hata ukifika tu hapo unafanyiwa hiv test. Alinieleza kuna watu toka europe, us, china, australia, uae na kila kona ya dunia ambao wamelowea huko na hawataki kurudi. Ni ngono ya ajabu wakati wa deep meditation ndio inayoharibu watu akili hapo osho nasikia mizuka ikipanda tu basi ni patashika watu hupagawa na huendelea na ngono usiku mzima huku ukichagua/ukichaguliwa za kila aina hapo hekaluni.

ehhhhhh?
Si unaweza kuwa introduced na vitu vingine hapo?
Homosexual sex?

Siendi tena aisee
 
Back
Top Bottom