LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Kuna habari zilizozaaga hapa Arusha ya kwamba kuna dogo mmoja aliye2a Samunge kwa Babu na kupata kikombe, lakini baada ya hapo wakati anarudi mambo yaligeuka na kuwa kama mbogo aliyejeruhiwa na kuanza kuwachochoma raia ndani ya gari kwa kisu aliyekuwa nayo.
Sasa mi cjapata kusikia vema ila Best aliyetaka kunihabarisha nikamstopisha kwani alitaka kuweka na chumvi zaidi. Je wana JF kuna mwenye habari hii anijuze kwa anavyofahamu zaidi?
Asante na samahani kwa usumbufu wowote ule NDUGU ZANGUNI. Twendeni pamoja.
Sasa mi cjapata kusikia vema ila Best aliyetaka kunihabarisha nikamstopisha kwani alitaka kuweka na chumvi zaidi. Je wana JF kuna mwenye habari hii anijuze kwa anavyofahamu zaidi?
Asante na samahani kwa usumbufu wowote ule NDUGU ZANGUNI. Twendeni pamoja.