Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kasomea Majungu na fitina, elewa hivyo basi.
Kama ulivyosomea upashukuna
Kasomea Majungu na fitina, elewa hivyo basi.
Teh teh teh!hakuna binadamu ambaye hana CV,labda hujui nini maana ya CV!
Sisi kwetu CV uwa siyo muhimu sana ndiyo maana unaona hata mmiliki wa Chadema Mbowe hana CV yoyote lakini anawaongoza watu wenye degree, master's, PhD.
Amefaulu zaidi kwenye masomo ya umbea na uzushi.
Jah people wanasema alisoma darasa la kwanza NA la pili nusu hakumaliza mwaka, so elimu take ni darasa moja NA nusuuuuu...ila kwasasa ni mbunge Wa makambako NA soon atachafuliwa kua mwenyekiti Wa PAC
the definition of hypocricy
Tusaidie kwanza cv za profesa majimarefu na jah people, kibajaji
Leo ndio nimeelewa kwanini JK alipewa uprofesa.Sisi kwetu CV uwa siyo muhimu sana ndiyo maana unaona hata mmiliki wa Chadema Mbowe hana CV yoyote lakini anawaongoza watu wenye degree, master's, PhD.
Mhhh!! Vp au ndo wewe?
ww ni muongo sio mbunge wako sema zaidi zaidi wataka kuleta siasa za maji taka na kuchafuana .
kama ww ni mwana ubungo huwezi uliza hili ina maana kwenye mikutano ulihudhuria majibu yako yote unayo