Dimakatso Cmp
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,106
- 6,750
Dah,kweli jf ni kisima cha elimu.huyu jamaa anasemekana ana undugu na magufuli ndiyo maana akapewa wizara nyeti.
mawe matatuMkuu umetisha, thread ya mwaka 2010, leo tunaona impact yake!
Kichwa habari kizuri sana, nilifikiri unaandika jinsi wabunge wa Chadema kila mmoja alivyoenda bungeni na wake. Kama siyo mke basi ni mtoto au mkwe au hawara na limahamsha hasira sana kwa sisi wanawake wa Chadema. Tume ya uchaguzi imekaa kimya wala haikemei jambo hilo la vigogo Chadema kuchakachua hilo.
Huyu jamaa ni full majungu na ni fisadi kiaina.
Kada wa CCM. Mtumishi wa Benki Kuu. Amevuruga kampuni waliyoanzisha watu wanne kiasi kwamba sasa ina hali mbaya. Wahindi wameipiga bao. Kupewa Wizara ni njia ya kumsaidia kurudisha pesa yake aliyofilisi kampuni aliyobuni na wenzake. Wala siyo muadilifu kama tulivyopotoshwa na JK. Ana lake jambo.
Pia ni swahiba wa Pombe (J. Magufuli).
Haiwezekani kuingia tu bungeni na kuwa Naibu Waziri. Kwani yeye nani?
Naomba CV yake.
(Udini nimepumzika kwanza.Nina deal na Mkristu mwenzangu Kitwanga. Maana mods wanaondoa kila uzi ninao-post hata kama una maslahi kwa Taifa. Wanaacha Malaria Sugu na nyuzi zake za kizushi anatamba. Poa tu. Sijui hii ikoje?)
Sina hakika kama infosys IPS wana hali mbaya. Ila ninachofahamu ni kuwa kampuni ile ilikuwa na uongozi mbovu. Kitwanga kama board member na shareholder alijitahidi sana kujaribu kuweka mambo sawa ila kuna moja ya mkurugenzi aliacha kazi kuja kusimamia kampuni ndiye aliyeharibu sana sana. Naamini kampuni ile ingekuwa chini ya Kitwanga inawezekana ingefanya vizuri.Huyu jamaa ni full majungu na ni fisadi kiaina.
Kada wa CCM. Mtumishi wa Benki Kuu. Amevuruga kampuni waliyoanzisha watu wanne kiasi kwamba sasa ina hali mbaya. Wahindi wameipiga bao. Kupewa Wizara ni njia ya kumsaidia kurudisha pesa yake aliyofilisi kampuni aliyobuni na wenzake. Wala siyo muadilifu kama tulivyopotoshwa na JK. Ana lake jambo.
Pia ni swahiba wa Pombe (J. Magufuli).
Haiwezekani kuingia tu bungeni na kuwa Naibu Waziri. Kwani yeye nani?
Naomba CV yake.
(Udini nimepumzika kwanza.Nina deal na Mkristu mwenzangu Kitwanga. Maana mods wanaondoa kila uzi ninao-post hata kama una maslahi kwa Taifa. Wanaacha Malaria Sugu na nyuzi zake za kizushi anatamba. Poa tu. Sijui hii ikoje?)