Mwenye CV ya Charles Kitwanga (Kipengele cha Education) anipe

Status
Not open for further replies.
Huyu jamaa ni full majungu na ni fisadi kiaina.

Kada wa CCM. Mtumishi wa Benki Kuu. Amevuruga kampuni waliyoanzisha watu wanne kiasi kwamba sasa ina hali mbaya. Wahindi wameipiga bao. Kupewa Wizara ni njia ya kumsaidia kurudisha pesa yake aliyofilisi kampuni aliyobuni na wenzake. Wala siyo muadilifu kama tulivyopotoshwa na JK. Ana lake jambo.

Pia ni swahiba wa Pombe (J. Magufuli).

Haiwezekani kuingia tu bungeni na kuwa Naibu Waziri. Kwani yeye nani?

Naomba CV yake.

(Udini nimepumzika kwanza.Nina deal na Mkristu mwenzangu Kitwanga. Maana mods wanaondoa kila uzi ninao-post hata kama una maslahi kwa Taifa. Wanaacha Malaria Sugu na nyuzi zake za kizushi anatamba. Poa tu. Sijui hii ikoje?)

kama usingekuwa na majungu ungeyaleta haya hapa?
 
Ni mtu wa hongo.

mtu wa mlungula

mtu wa kitu kidogo

alikuwa mwenyekiti wa ERB pamoja na kwamba kampuni yake ametimua wahandisi wote wenye akili na uwezo.

alikuwa mwenyekiti wa ERB lakini muda wote kulikuwa na hadithi za kweli za maghorofa kuvunjika. yeye ilimradi umpe kitu kidogo poa tu. hata ujenge ghorofa kwa nondo za fito au kwa matope poa tu.

Tz tumekwisha.

Inawezekana umeshajibiwa; binafsi sijui tabia yake binafsi kwa vile sijaonana naye kwa karibu miaka 20 sasa, ila ninajua background yake kileimu, kama ulivyoulza. jamaa huyu aligraduate UDSM mwaka 1988 na B.Sc kwenye mathematics akiwa na major ya computer science. Baada ya hapo akaajiriwa na BoT kwa vile alikuwa mchezaji mzuri wa basketball. Akiwa mfanyakazi wa BoT likwenda kusoma masters in information systems University of Sussex mwaka 1992. Mara baada ya kurudi tuliwahi kukutana mara kadhaa akiwa anafanya kazi section ya Computers hapo BoT ambako baadaye nasikia alipanda ngazi hadi kufikia kuwa Director. Kwa hiyo CV yake ni clean kabisa ingawa tabia yake baada ya kuwa madarakani inaweza ikawa na madoa (siijui).

Jambo ambalo sielewi ni kwa nini alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa ERB wakati hana background yoyote ya engineering. Ninashindwa pia kuelewa ilikuwaje na yeye mwenyewe akawa registered kuwa engineer wakati digrii yake ya information systems haikidhi kabisa mahitaji ya engineering profession. Majengo kuwa yanaanguka ni kutokana na bodi ya engineering kuzembea hadi kufikia watu kama Manyanya kuwa registered kama mainjinia, na nadhani hata Kitwanga naye technically sasa yuko registered kuwa injinia.
 
Inawezekana umeshajibiwa; binafsi sijui tabia yake binafsi kwa vile sijaonana naye kwa karibu miaka 20 sasa, ila ninajua background yake kileimu, kama ulivyoulza. jamaa huyu aligraduate UDSM mwaka 1988 na B.Sc kwenye mathematics akiwa na major ya computer science. Baada ya hapo akaajiriwa na BoT kwa vile alikuwa mchezaji mzuri wa basketball. Akiwa mfanyakazi wa BoT likwenda kusoma masters in information systems University fo Sussex mwaka 1992. bara baada ya kurudi tuliwahi kukutana mara kadhaa akiwa anafanya kazi section ya Computers hapo BoT ambako baadaye nasikia alikpanda ngazi hadi kufikia kuwa Director. Kwa hiyo CV yake ni clean kabisa ingawa tabia yake baada ya kuwa madarakani inaweza ikawa na madoa.

Jambo ambalo sielewi ni kwa nini alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa ERB wakati hana background yoyote ya engineering. Ninashindwa pia kuelewa ilikuwaje yeye mwenyewe registered kuwa engineer wakati digrii yake ya information systems haikidhi kabisa mahitaji ya engineering profession. Majengo kuwa yanaanguka ni kutokana na bodi ya engineering kuzemebea hadi kufikia watu kama Manyanya kuwa mainjinia, na nadhani hata Kitwanga naye technically sasa ni injinia.

Mkuu ni ERB au CRB?
 
Mkuu ni ERB au CRB?

Nimesoma post za huko nyuma zikionyesha kuwa alikuwa mwenyekiti wa ERB, ndiyo maana nikashangaa; binafsi sijaonana naye tangu mwaka 1993. Alikuwa mtu mwungwana sana wakati huo na bado nina image hiyo. Nimeshangaa kusoma posts hapa zinazoonyesha kuwa ni monster.
 
Kila kiongozi TZ ni mla rushwa. Ila sema huyu jamaa mi namfahamu ni mchapa kazi na ni mtu mwenye vision. Pia hapendi majungu yeye anakupa live ukikosea na ni mbabe fulani.
 
'Apparently', CCM wote ni monsters, na ukikanusha utasikia utakavyomwagiwa tindikali.

Nimesoma post za huko nyuma zikionyesha kuwa alikuwa mwenyekiti wa ERB, ndiyo maana nikashangaa; binafsi sijaonana naye tangu mwaka 1993. Alikuwa mtu mwungwana sana wakati huo na bado nina image hiyo. Nimeshangaa kusoma posts hapa zinazoonyesha kuwa ni monster.
 
Kila kiongozi TZ ni mla rushwa. Ila sema huyu jamaa mi namfahamu ni mchapa kazi na ni mtu mwenye vision. Pia hapendi majungu yeye anakupa live ukikosea na ni mbabe fulani.

si ndo huyu walikuwa wizara moja na nundu kwenye sakata la ccc?? Nafikiri jibu lilipatikana baada ya riport ya kamati na cag. Watetezi wake njooni bathi.
 
Huyu jamaa ni full majungu na ni fisadi kiaina.

Kada wa CCM. Mtumishi wa Benki Kuu. Amevuruga kampuni waliyoanzisha watu wanne kiasi kwamba sasa ina hali mbaya. Wahindi wameipiga bao. Kupewa Wizara ni njia ya kumsaidia kurudisha pesa yake aliyofilisi kampuni aliyobuni na wenzake. Wala siyo muadilifu kama tulivyopotoshwa na JK. Ana lake jambo.

Pia ni swahiba wa Pombe (J. Magufuli).

Haiwezekani kuingia tu bungeni na kuwa Naibu Waziri. Kwani yeye nani?

Naomba CV yake.

(Udini nimepumzika kwanza.Nina deal na Mkristu mwenzangu Kitwanga. Maana mods wanaondoa kila uzi ninao-post hata kama una maslahi kwa Taifa. Wanaacha Malaria Sugu na nyuzi zake za kizushi anatamba. Poa tu. Sijui hii ikoje?)

Mkuu umetisha, thread ya mwaka 2010, leo tunaona impact yake!
 
Kweli JF ni kisima cha habari...huyu Kitwanga wanaosema analipwa mara mbili kumbe alishajadiliwa humu toka 2010?
 
Huyu jamaa namkubali sana i knew him well hata kabla hajawa waziri yupo vizuri sana hajaingia katika uwaziri kwa sababu ya njaa God bless him
 
Anarudi tena, hivi uadilifu wa mtu unapimwa kwa umasikini?.
Infosys ni moja ya makampuni yenye mafanikio makubwa kutokana na kuwa ndio sole agent wa Dell, na miradi yote inayofadhiliwa na Benki ya Dunia, computers lazima ziwe Dell.

Nijuavyo mimi, Kitangwa ni mmoja wa wakurugenzi, yeye ni mwajiriwa wa BOT. Kaka yake ni Singili mwenye Azania Bank, jamaa wana mafanikio sana kwenye kila wanapokanyaga, hebu angalieni lile jengo lao pale Msasani Beach lilivyo kivutia!.

Hakuna ubishi, Tanzania ni nchi masikini, na Watanzania wengi tunaishi kwa lindi la umasikini uliotopea, hii isitufanye kijenga chuki na kila mwenye nacho, simply because wengine hatuna.
Naamini mafanikio ya Infosys sasa yanahamishiwa pale wizarani.
Pasco leo unaweza kuyarudia maneno yako haya?
 
chadema kila mtu bungeni ameenda na ukoo wake , hasa hasa wakina ndesamburo, mbowe nk. kila mtu ametoa viti maalum kwa watoto wake, wakwe, wajomba n. Hiki ni chama cha siasa kweli au kikabila? kweli 'kila mtu na wake kwa chadema'
Hivi bado upo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom