IGUDUNG'WA
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 2,071
- 1,314
wewe Yericko Nyerere huyu bro wako network inasoma fresh kweli? hakuna siku nimewahi kumuelewa mimi aisee
Last edited by a moderator:
Kweli kabisa eti Nivue shati nisivue !!!shati oyeee!!
Kati ya watu wa hovyo kutokea au kuwahi kuishi karne ya 21 ni makongoro nyerere.
Sasa anauliza avue shati au asivue ili nani aone kitambi chake cha minyoo ya safura.
Sijui ana mtindio wa ubongo, yaani anachekacheka tu,anaongea mwenyewe anacheka kama zezeta.
Ccm imesheheni vilaza sijawahi kuona. ccm mwenye akili alikua mwl tu.
Lakini Lowassa anaweza vipi kuwa rais kama CCM imefanya vizuri sana katika uchaguzi za serikali za mitaa miezi michache iliyopita? Na hapa lazima niseme kwamba sielewi ni vipi zita kuwepo uchaguzi za udiwani oktoba 25 wakati ulikuwepo uchaguzi wa serikali za mitaa miezi michache iliyopita. Lakini Kama CCM ilishinda uchaguzi
Eti kifimbo oyeee!,wanatufanya ss wapumbavu cio ngoja sasa tuwaonyeshe 25 octoberKweli kabisa eti Nivue shati nisivue !!!shati oyeee!!
Kofia hoyeee.
Miwani hoyeee.
Aibuuuu.
Soda kubwa ile ya maji meupe au ya rangi. Mbona hurudi kuendelea naona ume edit muta huu tu. Acha utaniNitaendelea. Naenda kutafuta soda.
Umuhimu sana kwa wananchi ila tu kwamba wanataka mabadiliko.kwa wale wanaotaka mabadiliko. Matatizo ya vyombo vya dola,nadhani vyombo vya dola vitafurahi kuwaunga mkono Ukawa,Kama Ukawa wanataka kuleta change for the better,mabadiliko ya kweli. Lakini hakuna maana vyombo vya dola viwaunge
Kada Andrew Nyerere,
Hawa UKAWA usipoteze muda kuwapa wasaa...ni watu ambao wameamua kwa dhati yao kujitoa akili.
Kwa sisi wana CCM kwa sasa tumejikita zaidi kwenye kuwaeleza wananchi ni kwanini wampe kura Magufuli.
Natarajia katika hili la kumnadi mgombea wetu utatupatia ushirikiano wako.
ccm wameshindwa kutuletea maendeleo,,tutawaweka pembeni october