Mwendokasi yawaka moto... Hakuna vifo wala majeruhi

Watanzania sijui ni kuona mali ya uma haituhusu sijui ni roho mbaya au nini? Yaani hakuna hata mwenye chombo cha kuzimia moto kwenye gari yake wote waloipita hapo? Kweli hii nchi watu wamechoka au wanamaumivu wameamua kila mtu lwake.
 
Sasa vizimia moto vya kwenye magari yetu vyanini na kwa nini kwenye vituo hakuna fire extinguisher hata 1 ya dharura, magari yana pita watu wameshindwa kutoa msaada au ni kwa sababu ya cha umma?? Watu hawajali
 
Madevera wa siku nadhani hata kazi ya ile mitungi hawaijui sijui wanaona ni dawa za mbu zile!
Sasa vizimia moto vya kwenye magari yetu vyanini na kwa nini kwenye vituo hakuna fire extinguisher hata 1 ya dharura, magari yana pita watu wameshindwa kutoa msaada au ni kwa sababu ya cha umma?? Watu hawajali
 
Sifahamu kwanini Watanzania tunashindwa ku manage chochote kile hususan kikiwa cha umma.

Ile kampuni ya Oman iliyoshinda kuuendesha huu mradi wa mwendokasi itaanza lini?
Aisee yaani ina maana hayo magari hayana hata fire extinguisher kweli? Mbona hata sioni mtu akihangaika nayo kuzuma huo moto? Au ndo mali ya Umma...
 
Nitajie kimoja tulichoweza kukiendesha wenyewe kikaleta tija
Sina uhakika na uelewa wangu shareholders ndo wanamaamuziau ni wasubiri gawio!
Majority shareholders ndiyo wenye maamuzi.

Naona umejionea ukweli lakini unatafuta pakutokea.

Huwa sikisii.
 
Mh, mbona video ya kwanza, (ilianza hivi) na ile (tamati) ni magari tofauti? Ya kwanza ni basi fupi( la kawaida) lililowaka ni refu ( la kuunga) tuwaaminije?
 
Back
Top Bottom