masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
View attachment 59865Kwa wale wenzangu, waswahili wa Temeke/Tandika mtaukumbuka sana mwembe huu.
Umekuwapo hata kabla ya uhuru, na mikutano mingi tu ya kisiasa imefanyika katika uwanja karibu na hapo, including ule wa Dr Slaa wa "List of Shame".
Mtakumbuka vile vile katika mwembe huu bendera ya Yanga ilikuwa ikitawala kwa miaka mingi sana , karibu miongo mitatu au minne iliyopita.
RIP Mwembe Yanga
Umekuwapo hata kabla ya uhuru, na mikutano mingi tu ya kisiasa imefanyika katika uwanja karibu na hapo, including ule wa Dr Slaa wa "List of Shame".
Mtakumbuka vile vile katika mwembe huu bendera ya Yanga ilikuwa ikitawala kwa miaka mingi sana , karibu miongo mitatu au minne iliyopita.
RIP Mwembe Yanga