eti jamani Hawa na Adam wasingezaliwa waarabu,wangezaliwa wachina si wangemla yule nyoka badala ya kulila lile tunda? na leo tungekuwa na maisha tofauti na haya!
nish !
Hebu fafanuka vizuri, hii maneno inatakiwa carefully mtu awe, kabla ya kuvamia kuchangia.
Ainisha vizuri ukianzia na hapo , unasema adam na hawa walizaliwa kabila gani .
(weka zingatio kwamba hao viumbe hawakuzaliwa! Bali waliumbwa)
hence , kama waliumbwa,
mara baada ya kuumbwa walikua ktk mtazamo wa taifa gani .
Vinginevyo post yako itakua haina mantikk .
Duuh na wangeumbwa waswahili je?
Mtally mambo vp? NilikuPM , bt sijapata rply yako, au pm yangu haijafika due Ntwk problms!
PM sijaipata mkuu bt usijari ntakuPm basi mimwenyewe., Mambo mengine swafi mkuu.
Haina neno , kuwa na mchana mwema, ngoja nipigepige misele majukwaani.
Kumbe Adamu na Hawa walikuwa waarabu??
Lunch njema wadau........!!!
Kumbe Adamu na Hawa walikuwa waarabu??
Lunch njema wadau........!!!
Nimefunga, nawatakia wale ambao hawajafunga......Katavi hujafunga kwaresma ?
Mtaly, unasoma saa ngapi?
Msalimie ticha wenu wa mechanical engineering.
Mtaly, unasoma saa ngapi?
Msalimie ticha wenu wa mechanical engineering.