boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 5,817
- 4,238
Tanzania sasa hivi tulipofikia bora ukakamatwa na Pembe za ndovu kuliko kukutwa na kadi ya chama pinzani
Msiba ni kwa ccm tu wao kwendamkikosa kazi ya kufanya mna shida sana.
watu wapo msibani mnakwenda kuwakamata.
au msiba nao UNA VIBALI?