LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Ccm mtatumaliza
Yani ni JANGA KUU kwa Nchi yetu ya leo! Ila hakika siku zao zinahesabika!
Wao wana Pesa ila sisi tuna MUNGU!
Ccm mtatumaliza
zitaisha pale watu watakapoamua kutii sheria bila shurti.hivi hizi vurugu Mwanza mpaka lini?.
Kwa sanduku la kura,CCM haiwezi kung'oka,labda tutafute njia nyingine.Vurugu zitaisha mpaka pale tutakapoifukuza Migamba kupitia Sanduku la Kura.