johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,039
Mkuu wa mkoa wa Mwanza mh Malima amesema mkoa wake umeanza kuchukua hatua kukabiliana na Ugonjwa wa Ebola endapo utabainika kuwepo
Naye mganga mkuu wa mkoa wa Kagera amesema wamejipanga kikamilifu kuikabili Ugonjwa wa Ebola kwani tayari u.eripotiwa kuwepo nchi wanayopakana nayo ya Uganda
Source ITV habari
Naye mganga mkuu wa mkoa wa Kagera amesema wamejipanga kikamilifu kuikabili Ugonjwa wa Ebola kwani tayari u.eripotiwa kuwepo nchi wanayopakana nayo ya Uganda
Source ITV habari