Mwanza imezizima wananchi wakesha kuusubiri mwili wa mpendwa wao hayati Magufuli utakaowasili saa 1:00 asubuhi!

Huo n udhalilishaj kwa marehemu wala sio upendo.
Waafrika tunafanyaga yale yale kila siku.
Pesa ya kuuguza kidogo,pesa ya kuandaa mazishi kubwa.

Trump alkuwa sahihi,hizi nchi zetu znatakiwa kutawaliwa tena.
Kwa jinsi dunia inavyoenda speed,hatukupaswa kutumia muda wote huo kwenye mwili wa baridi.
Ni una mental bankrupt sio bure. Yaan kama una akili timamu hauwezi jikosesha thamani kiasi hiki. Pamoja na kuwahurumia watu wenye akili kama zako, huwa naumia moyoni kusikia jitu linajiturumua eti bora nitawaliwe na mzungu kuliko kutawaliwa na mwsfrica menzangu. Kifupi umebakiza kujipaka kinyesi ili kuwa chizi kamili.
dunia nzima inaomboleza kifo cha shujaa wetu, wewe ni nani bado unamponda mawe tuuuuuu. Si ni shetani tu wewe.
 
Ndege iliyobeba Mwili wa Dk Magufuli tayari imeondoka Zanzibar kwenda Mwanza

Kwa hiyo??? Tuliza kiherehere - wewe sio mratibu wa tukio la leo. Ile sheria ya habari ilitungwa kwa watu kama ninyi.

Acheni hizi mambo tumalize kumzika mpendwa kwanza!!
 
Sijapata kuona heka heka za kiwango hiki katika jiji la Mwanza ambapo watu wamekesha kumsubiri mpendwa wao hayati Magufuli waweze kutoa heshima za mwisho.

Kwa kweli hayati Magufuli anakubalika kanda ya ziwa maana nimeshuhudia wageni kutoka pembe zote za kanda hii wakiwa tayari kumpokea, kumuaga na hatimaye kumsindikiza hadi Chato kipenzi chao.

Vituo vya mafuta viko busy kuuza maana kila mmoja ameshakaa mkao wa mapokezi, kuaga kisha msafara kuelekea Chato baada ya zoezi la kumuaga hayati Magufuli kukamilika katika uwanja wa CCM Kirumba.

Updates;

Nani kakuambia Mwili utawasili Mwanza Saa 1 Kamili Asubuhi wakati hivi sasa naandika Ndege ndiyo imesharuka ( kama dakika 30 tu zilizopita ) kwenda Mwanza? Itatua huko Kuanzia Saa 2 na Robo hadi Saa 2 na Nusu au hata Saa 3 Kasorobo pia.
 
Sijapata kuona heka heka za kiwango hiki katika jiji la Mwanza ambapo watu wamekesha kumsubiri mpendwa wao hayati Magufuli waweze kutoa heshima za mwisho.

Kwa kweli hayati Magufuli anakubalika kanda ya ziwa maana nimeshuhudia wageni kutoka pembe zote za kanda hii wakiwa tayari kumpokea, kumuaga na hatimaye kumsindikiza hadi Chato kipenzi chao.

Vituo vya mafuta viko busy kuuza maana kila mmoja ameshakaa mkao wa mapokezi, kuaga kisha msafara kuelekea Chato baada ya zoezi la kumuaga hayati Magufuli kukamilika katika uwanja wa CCM Kirumba.

Updates;
Asante kwa taarifa.
 
CCM utadhani wanafanya kampeni za uchaguzi,wanatumia nguvu kuwalazimisha wafanya kazi wahushurie,na hivyo kuongeza idadi ya watu.

CCM ni bora isingekuwepo.
 
Ni una mental bankrupt sio bure. Yaan kama una akili timamu hauwezi jikosesha thamani kiasi hiki. Pamoja na kuwahurumia watu wenye akili kama zako, huwa naumia moyoni kusikia jitu linajiturumua eti bora nitawaliwe na mzungu kuliko kutawaliwa na mwsfrica menzangu. Kifupi umebakiza kujipaka kinyesi ili kuwa chizi kamili.
dunia nzima inaomboleza kifo cha shujaa wetu, wewe ni nani bado unamponda mawe tuuuuuu. Si ni shetani tu wewe.
Ni shujaa gani muuaji,katili na muonevu?
Labda ni shujaa wa chama.
 
Sijapata kuona heka heka za kiwango hiki katika jiji la Mwanza ambapo watu wamekesha kumsubiri mpendwa wao hayati Magufuli waweze kutoa heshima za mwisho.

Kwa kweli hayati Magufuli anakubalika kanda ya ziwa maana nimeshuhudia wageni kutoka pembe zote za kanda hii wakiwa tayari kumpokea, kumuaga na hatimaye kumsindikiza hadi Chato kipenzi chao.

Vituo vya mafuta viko busy kuuza maana kila mmoja ameshakaa mkao wa mapokezi, kuaga kisha msafara kuelekea Chato baada ya zoezi la kumuaga hayati Magufuli kukamilika katika uwanja wa CCM Kirumba.

Updates;
Uwanja wa CCM Kirumba umefurika, watu ni wengi kweli kweli na wote wakiwa na sura za huzuni na simanzi.

Kule kwenye mzunguko ambako wamekaa wananchi wa kawaida kulijaa tangu alfajili kabisa kadhalika jukwaa la viongozi limeshasheheni wahusika.
Hawakuwa na kazi waliokesha
 

Attachments

  • FDCFE8A8-F2A6-48B9-86D8-F2493D9B2C82.jpeg
    FDCFE8A8-F2A6-48B9-86D8-F2493D9B2C82.jpeg
    56.6 KB · Views: 2
  • F8B1E6D7-9B1C-4C40-AAC8-5FEB0AD7242B.jpeg
    F8B1E6D7-9B1C-4C40-AAC8-5FEB0AD7242B.jpeg
    17.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom