Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 18,756
- 13,683
mheshimiwa hakimu mbona hukumu yako ni kali sana!!!!Anyongwe kama ni kweli kafanya jambo hilo la kijinga.
mheshimiwa hakimu mbona hukumu yako ni kali sana!!!!Anyongwe kama ni kweli kafanya jambo hilo la kijinga.
na kwa nini wang'ang'anie kazi isiyo na mshahara!!!!!!!!...huwa hawalipwi mishahara hao.
Nakubaliana na hoja yako ya "ajali kazini" kwasababu kiukweli tasnia ya habari imeoza kwa hilo ingawa mnajiona watakatifu sana na mko mstari wa mbele kuhukumu na kuandika ya wengine. Kukiwa na mwamko wa namna hii mbona watalizwa wengi? Hii ndio staili yao ya maisha wakishajua issue yako iwe kweli au uwongo ni simu na vitisho zitafuata utadhani umemuajiri. Safi sana TAKUKURU wanaoita ni posho ya kujikimu sawa tumewaelewa kwasababu siku zote bata hanyi, huharisha...Mwenye haki ya kunya ni kuku tu.Kibanga, hiyo ni ajali kazini ila mimi nasimamia zile bahasha halali!.
P.
kwahiyo wangemwachia, hapo vipi.Takukula nao...hawaoni rushwa kubwa kubwa wanaona hizi za waganga njaa...hiv wanajua thamani halisi za mabomba ya jk ya gas anayotaka kuwachakachua wana mtwara?
ndo maana nawachukia, tofauti yao na polisi ni ndogo sana, wao kazi yao kama walivyo polisi ni kupindisha ukweli. I hate them.Du hawa waandishi makanjanja mbona wengi tu yaani wao ni kuzusha na kutuacha tukigombana
Kibanga, hiyo ni ajali kazini ila mimi nasimamia zile bahasha halali!.
P.
Mkuu Mende, zile bahasha za waandishi sio takrima!, ni za logistic support ili kuwezesha hivyo ni bahasha za "uwezeshaji" na hapa naomba nisisitize na ku underline kuwa "hata ikulu inatoa bahasha hizo" na ikitokea kazi ya TAKUKURU inayowahusisha waandishi kupewa "logistic support", "hata TAKUKURU wanatoa bahasha!"Hizo ni kama takrima bunge lilifuta nakutungiwa sheria sasa ni rushwa
Mkuu Crashwise, wakati nilipokuwa mwandishi wa newsroom, bahasha nimezipokea sana!, mpaka sasa mimi ni mwandishi mshauri elekezi na mwezeshaji, ambapo kazi yangu sio tena kupokea bahasha bali kuzigawa!.yaani nilipoona hii thread nikawa najiuliza siyo Pasco au rafiki zake baada ya kuona jina siyo nikategemea kuona mchango wako..nikwambie tu pasco kwa namna unavyopenda kutumika na kupokea rushwa iko siku wata kuzunguka hutoa amini macho yako..vipi wale marafiki zako walokamatwa Monduli bado wananyea debe au ni rushwa juu ya rushwa..
Mkuu Ngwendu, hilo tumelizoea, hata humu jf, tunao sio tuu ma haters kibao, tunao mpaka "prophets of the doom" kibao tuu!. Kuna watu wana chuki for a reason na iko justifiable, ila kuna watu wa chuki for no reason at all!. Naomba nikupe ushauri wa bure, chuki ikizidi hugeuga ugonjwa that "eats you from inside!"ndo maana nawachukia, tofauti yao na polisi ni ndogo sana, wao kazi yao kama walivyo polisi ni kupindisha ukweli. I hate them.
Mkuu Mende, zile bahasha za waandishi sio takrima!, ni za logistic support ili kuwezesha hivyo ni bahasha za "uwezeshaji" na hapa naomba nisisitize na ku underline kuwa "hata ikulu inatoa bahasha hizo" na ikitokea kazi ya TAKUKURU inayowahusisha waandishi kupewa "logistic support", "hata TAKUKURU wanatoa bahasha!"
Nakiri kuwa "the dividing line kati ya bahasha za rushwa na za uwezeshaji ni very thin!" ili kujiridhisha which is which, nisome hapa Waandishi wa Habari na Bahasha: Sio Kila Bahasha ni Rushwa ...
Pasco.
.......
vibahasha vinaanza kugonga mwamba!Kibanga, hiyo ni ajali kazini ila mimi nasimamia zile bahasha halali!.
P.
Nahisi na wewe ni mmojawapo wa hawa WAANDISHI UCHWARA waganganjaa!!!! Badala ya kukemea unaona safi.
kwahiyo wangemwachia, hapo vipi.
.........
Mkuu Mende, lets be realistic, wewe si ni unafanya kazi na unalipwa mshahara?, hivi ukisafiri kikazi, unautegemea mshahara wako?.Hizi bahasha hizi zinashusha credibility ya uandishi wa habari, wewe unalipwa mshahara kwa kazi uliyo tuma kwenda kuifanya kwa nini tena upokee hiyo ya uwezeshaji?