isidingo 1961
Senior Member
- Nov 9, 2015
- 106
- 13
Nimesikitishwa sana Na habari katika gazeti la CCM UHURU la tarehe 6/11/2015 lenye kichwa cha habari"Lowassa anasubiri nini mjini aende Monduli kuchunga ng"ombe" Mtoa hoja hiyo in Bw.Christopher Lissa.
Swali: Kwani Mh.Lowassa anatukanwa na vyombo vya habari wakati mamlaka zinazisimamia zipo ila zimekaa kimya? Mh.Lowassa kosa lake ni kuhama CCM?
Kwani kuwa CCM in lazima?mwandishi huyo anataka kupandikiza chuki kwa watanzania kwani Mh.Lowassa na watanzania wanaoumia kwa hayo matusi.Bw.Christopher Lissa kumbuka kuwa Mh.Lowassa in miongoni Wa viongozi wakubwa Wa nchi .
Tunawaomba wanasheria wa Mh.Lowassa na wa Chama chake kulichukulia hatua za kisheria gazeti na vyombo vya habari na televisheni vitakavyojihusisha na kutukanwa kwa Mh.Lowassa kwani tabia hiyi imezidi .
Swali: Kwani Mh.Lowassa anatukanwa na vyombo vya habari wakati mamlaka zinazisimamia zipo ila zimekaa kimya? Mh.Lowassa kosa lake ni kuhama CCM?
Kwani kuwa CCM in lazima?mwandishi huyo anataka kupandikiza chuki kwa watanzania kwani Mh.Lowassa na watanzania wanaoumia kwa hayo matusi.Bw.Christopher Lissa kumbuka kuwa Mh.Lowassa in miongoni Wa viongozi wakubwa Wa nchi .
Tunawaomba wanasheria wa Mh.Lowassa na wa Chama chake kulichukulia hatua za kisheria gazeti na vyombo vya habari na televisheni vitakavyojihusisha na kutukanwa kwa Mh.Lowassa kwani tabia hiyi imezidi .