Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Inamaana wewe tangu uzaliwe hujawahi kushika kioo ukajitazama? Anafanana na wewe mwenyewe.
Binadamu tumeumbwa kwa mfano wa Mungu.Hivyo huyo mtoto kafanana na Muumba.
Hivi ni kweli kuwa hamuoni anafanana na Dr. Mwizi wa wake za watu a.k.a Dr. Slaa, ? Tena ni yule aliyezaa na yule sister wakati wa uzinzi wao!
Instead of making fun out of your corrupt leaders, you are doing so to the innocent children! stop this! Wherever you are little boy tambua kuwa uzuri wa binadamu ni katika matendo and not facial expression! be proud of yourself, me love you sana!
Atakuwa mtoto wa kambo wa Mmoja wa mawaziri wa Magamba huyu, *t****** W****a huyu huoni wanavyofanana!
Honey K siyo vibaya kama huna cha kuchangia uka-mute. Kwa jina lako linavyoonekana ni msichana mrembo tu, usijeharibika na magamba mami, huyo mtu unayemjaribu ni namba mbaya huiwezi.Hivi ni kweli kuwa hamuoni anafanana na Dr. Mwizi wa wake za watu a.k.a Dr. Slaa, ? Tena ni yule aliyezaa na yule sister wakati wa uzinzi wao!
Anafanana na Mpoki wa ze comedy.
You are a disgusting and INHUMAN, Unawezaje kufanya utani kwa maumbile ya mwenyezi mungu. Au una maana gani???
Huyu Mtoto Maskini kwani aliomba kuumbwa hivyo. Imaani yako ya kidini ni duni sana