kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
1.Usije jaribu, kumpiga mwanamke au kumtukana. itakushushia heshima sana na aiwezi kukufanya wewe uwe jasiri. Ki ukweli itakufanya uonekane jinsi gani ulivyo dhaifu.
2. Si vyema kumwangalia mwanamke mwingine mbele ya uwepo wa mke wako/mpenzi wako. Weka macho yako kwa mke wako/mpenzi wako. Yupo nawe kwa sababu maalumu.
3.Usipende kujisifu kwa vitu ambavyo auna. Unajidharaulisha mwenyewe
4.Usivae kata kei, watu awapendi kuona boxer yako, zaidi dirty ones, ki ukweli aikufanyi wewe kuonekana responsible
5. Usivae jeans inayokubana ambayo ina shape your package
6.Usionyeshe uwoga au kupanic mbele ya watoto wako au wadogo zako, pamoja nakuwa labda kuna sababu hiyo. Wewe ni mwanaume kwa sababu maalumu! Wanaume wengine awawezi kuua panya…Looh!!!
7. Usivae miwani ya giza usiku, in the mall or on your forehead.
8. Usiseme utapiga simu wakati unajua fika autafanya hivyo, its so annoying
9. Usivae cheni ya dhahabu na suti au unaenda kwa daktari kumwambia akuekee meno ya dhahabu mdomoni mwako.
10. Usikae kwenye siti kwamwe wakati mwanamke mjamzito kasimama ndani ya bus.
11. Usimfananishe mpenzi uliye naye na mpenzi wako wa zamani, she has expired, face the one you're now blessed or cursed with.
12. Usitumie mda mwingi kujiangalia kwenye kioo, kioo kipo pale zaidi kwa ajili ya mwanamke.
13.Usijikune, kujisawazisha nguo zako katika sehemu za public, Utafanya hivyo sehemu ambayo ipo more private.
14. Mama yako ulimwacha kwenu. Acha kumuongelea kuhusu yeye, unamfananisha na kila msichana na yeye. Acha pia kumtegemea mama yako afanye kila kitu kwako, afterall ujamuoa mama yako
15. usifuge kucha zako, kucha yako
16.Usije goma kula chakula alicho pika mke wako kisa maelewano siyo mazuri na mke wako, imemchukua muda na nguvu kutayarisha hicho chakula
Asante wana MMU.
2. Si vyema kumwangalia mwanamke mwingine mbele ya uwepo wa mke wako/mpenzi wako. Weka macho yako kwa mke wako/mpenzi wako. Yupo nawe kwa sababu maalumu.
3.Usipende kujisifu kwa vitu ambavyo auna. Unajidharaulisha mwenyewe
4.Usivae kata kei, watu awapendi kuona boxer yako, zaidi dirty ones, ki ukweli aikufanyi wewe kuonekana responsible
5. Usivae jeans inayokubana ambayo ina shape your package
6.Usionyeshe uwoga au kupanic mbele ya watoto wako au wadogo zako, pamoja nakuwa labda kuna sababu hiyo. Wewe ni mwanaume kwa sababu maalumu! Wanaume wengine awawezi kuua panya…Looh!!!
7. Usivae miwani ya giza usiku, in the mall or on your forehead.
8. Usiseme utapiga simu wakati unajua fika autafanya hivyo, its so annoying
9. Usivae cheni ya dhahabu na suti au unaenda kwa daktari kumwambia akuekee meno ya dhahabu mdomoni mwako.
10. Usikae kwenye siti kwamwe wakati mwanamke mjamzito kasimama ndani ya bus.
11. Usimfananishe mpenzi uliye naye na mpenzi wako wa zamani, she has expired, face the one you're now blessed or cursed with.
12. Usitumie mda mwingi kujiangalia kwenye kioo, kioo kipo pale zaidi kwa ajili ya mwanamke.
13.Usijikune, kujisawazisha nguo zako katika sehemu za public, Utafanya hivyo sehemu ambayo ipo more private.
14. Mama yako ulimwacha kwenu. Acha kumuongelea kuhusu yeye, unamfananisha na kila msichana na yeye. Acha pia kumtegemea mama yako afanye kila kitu kwako, afterall ujamuoa mama yako
15. usifuge kucha zako, kucha yako
16.Usije goma kula chakula alicho pika mke wako kisa maelewano siyo mazuri na mke wako, imemchukua muda na nguvu kutayarisha hicho chakula
Asante wana MMU.