Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,166
- 5,558
- Thread starter
- #41
Kuna watu hiyo dar wanaiyona Kwa Tv.
mkuu wapo watu kama hao?
Kuna watu hiyo dar wanaiyona Kwa Tv.
Unaona sasa!Hoja nyingine,wewe unaanzisha mambo mengine kabisa.Huwa unavuta bangi au ugoro?nilinunua plasma TV yenye inchi 72 Android TV pale lusaka kwa bei nusu ya hapa ambayo ningenunua bongo.
Pia nilinunua home theatre ya nguvu pale gaborone ambayo hapa bongo huwezi ukaigusa kbisa
Nimekuwa na marafiki kwenye hizo nchi na muda wowte nkitaka kitu natumiwa chapu.
Nimewatom.b.a mademu wa sauzi, zambia, congo, na bostwana nina mboro ya KIMATAIFAA
Niko na malizia michongo ila ikikaa sawa, nahamia mazima huko.
Endelea kukaa hapo nanjilinji kitohori uone kama tutakuwa sawa
Unaona sasa!Hoja nyingine,wewe unaanzisha mambo mengine kabisa.Huwa unavuta bangi au ugoro?
Ubaya haupo lakini usiaminishe watu kwamba ni lazima.Mkuu tuache utani kwani kuna ubaya gani mtu kwend nchi jirani
Ubaya haupo lakini usiaminishe watu kwamba ni lazima.
Kibaomkuu wapo watu kama hao?
Kenya tangu primary mzee.we umeanza kwenda Una 40?Jambo Jambo?
Huwa nashangaa baadhi ya watanzania ambao wamejiweka mitazamo ya kuzaliwa, kuishi, kuoa mpaka Kufa hata nchi jirani hajawahi kufika.
Yani Mwanaume mzima hata Kenya, Uganda, Zambia, Rwanda basi hata Malawi hujawahi kufika kabisaaaa? Inashangaza sana
Nenda hata holiday siku 3 urudi, Umekariri eti December mwanaume unaenda kujazana kwenye vibasi vidogo unaenda kijijini kwenda kusalimia.( Sikatai kusalimia wazazi, ndugu ila kila mwaka upo tu).
Kama huwez kuchukua familia emu jibebe we mwenyew basi nenda hata jiji la Nairobi, Gaborone au Kwa madiba ukajipige msasa hicho kichwa na mawazo uone walau mbali na ujinga wa watanzania walio wengi pia kuna raia wa nchi zingine wanajitambua.
Nenda kakutane na watu wapya na si kila siku unakutana na wagogo wa dodoma tu.
Toka umezaliwa wewe kweli mpaka hapa unakaribia kuzeeka na kufa Unaishia Dar m-Arusha au Dar-Mbeya.BADILIKA!!!!!
Kuna nchi za jirani hapo hata nauli haifiki 200,000 kwa bus kama huna nauli ya ndege mfano: kutoka Dar-Harare ni dola 100 tu ~Tsh 233,000.
Umekazana tu ukipata kahela mbio kijijini, Utakuja kurogwa!!!
Nenda ukaone raia wa sauzi, Botswana, Namibia hata Congo walivyojitambua na namna wanajua haki zao siyo wewe kutwa Simba,Yanga na ukiambiwa Kapige kura unajifanya haikuhusu, kule raia wanajitambua na hakika ukienda huko na kurudi utaona namna ambavyo Ujinga unatuharibu wa Tanzania.
Hapa nilipo namshukuru MUNGU nimefika nchi 5 tofauti tofauti Botswana,Zambia,Malawi,south Africa na Congo.
Yani nimejionea namna raia nchi zingine wanavyo-enjoy na kula National cake na siyo huku Bongo Raia walala hoi wanateseka na bado kutwa kusifia ujinga.
NENDA KATOE USHAMBA HUKO,MWANUME MZIMA UNAISHIA MAFINGA TU.
View attachment 2611745
View attachment 2611746
View attachment 2611747
View attachment 2611748
KAMA UNA HELA SIYO MBAYA NENDA HATA ULAYA,USA NA KWINGINE.
NA KAMA HUNA NENDA HAPO KWA JIRANI.
Nshomile
Kagera,Tanzania
Shida sio nchi jirani shida wengine hatujatoka hata nje ya vijiji tulivyozaliwa na kukuliaJambo Jambo?
Huwa nashangaa baadhi ya watanzania ambao wamejiweka mitazamo ya kuzaliwa, kuishi, kuoa mpaka Kufa hata nchi jirani hajawahi kufika.
Yani Mwanaume mzima hata Kenya, Uganda, Zambia, Rwanda basi hata Malawi hujawahi kufika kabisaaaa? Inashangaza sana
Nenda hata holiday siku 3 urudi, Umekariri eti December mwanaume unaenda kujazana kwenye vibasi vidogo unaenda kijijini kwenda kusalimia.( Sikatai kusalimia wazazi, ndugu ila kila mwaka upo tu).
Kama huwez kuchukua familia emu jibebe we mwenyew basi nenda hata jiji la Nairobi, Gaborone au Kwa madiba ukajipige msasa hicho kichwa na mawazo uone walau mbali na ujinga wa watanzania walio wengi pia kuna raia wa nchi zingine wanajitambua.
Nenda kakutane na watu wapya na si kila siku unakutana na wagogo wa dodoma tu.
Toka umezaliwa wewe kweli mpaka hapa unakaribia kuzeeka na kufa Unaishia Dar m-Arusha au Dar-Mbeya.BADILIKA!!!!!
Kuna nchi za jirani hapo hata nauli haifiki 200,000 kwa bus kama huna nauli ya ndege mfano: kutoka Dar-Harare ni dola 100 tu ~Tsh 233,000.
Umekazana tu ukipata kahela mbio kijijini, Utakuja kurogwa!!!
Nenda ukaone raia wa sauzi, Botswana, Namibia hata Congo walivyojitambua na namna wanajua haki zao siyo wewe kutwa Simba,Yanga na ukiambiwa Kapige kura unajifanya haikuhusu, kule raia wanajitambua na hakika ukienda huko na kurudi utaona namna ambavyo Ujinga unatuharibu wa Tanzania.
Hapa nilipo namshukuru MUNGU nimefika nchi 5 tofauti tofauti Botswana,Zambia,Malawi,south Africa na Congo.
Yani nimejionea namna raia nchi zingine wanavyo-enjoy na kula National cake na siyo huku Bongo Raia walala hoi wanateseka na bado kutwa kusifia ujinga.
NENDA KATOE USHAMBA HUKO,MWANUME MZIMA UNAISHIA MAFINGA TU.
View attachment 2611745
View attachment 2611746
View attachment 2611747
View attachment 2611748
KAMA UNA HELA SIYO MBAYA NENDA HATA ULAYA,USA NA KWINGINE.
NA KAMA HUNA NENDA HAPO KWA JIRANI.
Nshomile
Kagera,Tanzania
Kenya tangu primary mzee.we umeanza kwenda Una 40?
Ok.nilianza nikiwa mdogo na mabus ya scandinavia
ila nimejikuta nazoea na walau kila mwaka nipo huko
Ubovu wa uzi ni upi mkuu?Anyway sikutarajia Uzi mbovu kama huu Toka kwako kwani nakuheshimu sana
Yaani Malawi hii inayoongoza kwa Umasikini Duniani ndio wanaojitambua?
Jidanganye,Utalii sio lazima iwe phyically.
Unaweza kutalii tu hata technologically na ukajua mambo mengi kuhusu mataifa mengine pengine kuliko hata walienda physically.
Kuna watu wanaijua Tanzania kupitia movie kuliko hata unavyofikiria! Hapo wewe ndio ujitahmini!
Ubovu wa uzi ni upi mkuu?
Kusafiri nchi zingine ni elemu tosha kabisa.
Jidanfanye,
Au umeamua tu kujifariji?