Mwanaume unakaribia miaka 40/50 na haujawahi kutoka hata nchi jirani, Ushamba huo

Nshomile wa Muleba

JF-Expert Member
Dec 5, 2015
2,165
5,553
Jambo Jambo?

Huwa nashangaa baadhi ya watanzania ambao wamejiweka mitazamo ya kuzaliwa, kuishi, kuoa mpaka Kufa hata nchi jirani hajawahi kufika.

Yani Mwanaume mzima hata Kenya, Uganda, Zambia, Rwanda basi hata Malawi hujawahi kufika kabisaaaa? Inashangaza sana

Nenda hata holiday siku 3 urudi, Umekariri eti December mwanaume unaenda kujazana kwenye vibasi vidogo unaenda kijijini kwenda kusalimia.( Sikatai kusalimia wazazi, ndugu ila kila mwaka upo tu).

Kama huwez kuchukua familia emu jibebe we mwenyew basi nenda hata jiji la Nairobi, Gaborone au Kwa madiba ukajipige msasa hicho kichwa na mawazo uone walau mbali na ujinga wa watanzania walio wengi pia kuna raia wa nchi zingine wanajitambua.
Nenda kakutane na watu wapya na si kila siku unakutana na wagogo wa dodoma tu.

Toka umezaliwa wewe kweli mpaka hapa unakaribia kuzeeka na kufa Unaishia Dar m-Arusha au Dar-Mbeya.BADILIKA!!!!!

Kuna nchi za jirani hapo hata nauli haifiki 200,000 kwa bus kama huna nauli ya ndege mfano: kutoka Dar-Harare ni dola 100 tu ~Tsh 233,000.

Umekazana tu ukipata kahela mbio kijijini, Utakuja kurogwa!!!

Nenda ukaone raia wa sauzi, Botswana, Namibia hata Congo walivyojitambua na namna wanajua haki zao siyo wewe kutwa Simba,Yanga na ukiambiwa Kapige kura unajifanya haikuhusu, kule raia wanajitambua na hakika ukienda huko na kurudi utaona namna ambavyo Ujinga unatuharibu wa Tanzania.

Hapa nilipo namshukuru MUNGU nimefika nchi 5 tofauti tofauti Botswana,Zambia,Malawi,south Africa na Congo.

Yani nimejionea namna raia nchi zingine wanavyo-enjoy na kula National cake na siyo huku Bongo Raia walala hoi wanateseka na bado kutwa kusifia ujinga.

NENDA KATOE USHAMBA HUKO,MWANUME MZIMA UNAISHIA MAFINGA TU.

IMG_5728.jpg

IMG_5829.jpg

IMG_5830.jpg

IMG_5831.jpg




KAMA UNA HELA SIYO MBAYA NENDA HATA ULAYA,USA NA KWINGINE.
NA KAMA HUNA NENDA HAPO KWA JIRANI.


Nshomile
Kagera,Tanzania
 
Jambo Jambo?

Huwa nashangaa baadhi ya watanzania ambao wamejiweka mitazamo ya kuzaliwa, kuishi, kuoa mpaka Kufa hata nchi jirani hajawahi kufika.

Yani Mwanaume mzima hata Kenya, Uganda, Zambia,Rwanda basi hata Malawi hujawahi kufika kabisaaaa? Inashangaza sana

Nenda hata holiday siku 3 urudi, Umekariri eti december mwanaume unaenda kujazana kwenye vibasi vidogo unaenda kijijini kwenda kusalimia.( Sikatai kusalimia wazazi, ndugu ila kila mwaka upo tu).

Kama huwez kuchukua familia emu jibebe we mwenyew basi nenda hata jiji la Nairobi, Gaborone au Kwa madiba ukajipige msasa hicho kichwa na mawazo uone walau mbali na ujinga wa watanzania walio wengi pia kuna raia wa nchi zingine wanajitambua.
Nenda kakutane na watu wapya na si kila siku unakutana na wagogo wa dodoma tu.

Toka umezaliwa wewe kweli mpaka hapa unakaribia kuzeeka na kufa Unaishia Dar m-Arusha au Dar-Mbeya.BADILIKA!!!!!

Kuna nchi za jirani hapo hata nauli haifiki 200,000 kwa bus kama huna nauli ya ndege mfano: kutoka Dar-Harare ni dola 100 tu ~Tsh 233,000.

Umekazana tu ukipata kahela mbio kijijini, Utakuja kurogwa!!!

Nenda ukaone raia wa sauzi, Botswana, Namibia hata Congo walivyojitambua na namna wanajua haki zao siyo wewe kutwa Simba,Yanga na ukiambiwa Kapige kura unajifanya haikuhusu, kule raia wanajitambua na hakika ukienda huko na kurudi utaona namna ambavyo Ujinga unatuharibu wa Tanzania.

Hapa nilipo namshukuru MUNGU nimefika nchi 5 tofauti tofauti Botswana,Zambia,Malawi,south Africa na Congo.

Yani nimejionea namna raia nchi zingine wanavyo-enjoy na kula National cake na siyo huku Bongo Raia walala hoi wanateseka na bado kutwa kusifia ujinga.

NENDA KATOE USHAMBA HUKO,MWANUME MZIMA UNAISHIA MAFINGA TU.

View attachment 2611745
View attachment 2611746
View attachment 2611747
View attachment 2611748



KAMA UNA HELA SIYO MBAYA NENDA HATA ULAYA,USA NA KWINGINE.
NA KAMA HUNA NENDA HAPO KWA JIRANI.


Nshomile
Kagera,Tanzania
Una akili nyembamba sana kama tishu.Umeandika kwa majigambo sana kama umeshiba senene.
 
Jambo Jambo?

Huwa nashangaa baadhi ya watanzania ambao wamejiweka mitazamo ya kuzaliwa, kuishi, kuoa mpaka Kufa hata nchi jirani hajawahi kufika.

Yani Mwanaume mzima hata Kenya, Uganda, Zambia,Rwanda basi hata Malawi hujawahi kufika kabisaaaa? Inashangaza sana

Nenda hata holiday siku 3 urudi, Umekariri eti december mwanaume unaenda kujazana kwenye vibasi vidogo unaenda kijijini kwenda kusalimia.( Sikatai kusalimia wazazi, ndugu ila kila mwaka upo tu).

Kama huwez kuchukua familia emu jibebe we mwenyew basi nenda hata jiji la Nairobi, Gaborone au Kwa madiba ukajipige msasa hicho kichwa na mawazo uone walau mbali na ujinga wa watanzania walio wengi pia kuna raia wa nchi zingine wanajitambua.
Nenda kakutane na watu wapya na si kila siku unakutana na wagogo wa dodoma tu.

Toka umezaliwa wewe kweli mpaka hapa unakaribia kuzeeka na kufa Unaishia Dar m-Arusha au Dar-Mbeya.BADILIKA!!!!!

Kuna nchi za jirani hapo hata nauli haifiki 200,000 kwa bus kama huna nauli ya ndege mfano: kutoka Dar-Harare ni dola 100 tu ~Tsh 233,000.

Umekazana tu ukipata kahela mbio kijijini, Utakuja kurogwa!!!

Nenda ukaone raia wa sauzi, Botswana, Namibia hata Congo walivyojitambua na namna wanajua haki zao siyo wewe kutwa Simba,Yanga na ukiambiwa Kapige kura unajifanya haikuhusu, kule raia wanajitambua na hakika ukienda huko na kurudi utaona namna ambavyo Ujinga unatuharibu wa Tanzania.

Hapa nilipo namshukuru MUNGU nimefika nchi 5 tofauti tofauti Botswana,Zambia,Malawi,south Africa na Congo.

Yani nimejionea namna raia nchi zingine wanavyo-enjoy na kula National cake na siyo huku Bongo Raia walala hoi wanateseka na bado kutwa kusifia ujinga.

NENDA KATOE USHAMBA HUKO,MWANUME MZIMA UNAISHIA MAFINGA TU.

View attachment 2611745
View attachment 2611746
View attachment 2611747
View attachment 2611748



KAMA UNA HELA SIYO MBAYA NENDA HATA ULAYA,USA NA KWINGINE.
NA KAMA HUNA NENDA HAPO KWA JIRANI.


Nshomile
Kagera,Tanzania
Sasa kenya, uganda and Malawi ni Nchi za nje hizo? Is just another homes for brothers from another mother, Zambia, Malawi, Mozambique, Zimbabwe and South Africa, tumekua tukienda huko since 17years of age,tena nikikamatwa na migration Officers wa Zambia na Malawi nalia kwamba namtafuta Baba yangu wananiachia naendelea kufanya yangu Lusaka, Lilongwe is like the way I visit Homeland Mbeya City
 
Jambo Jambo?

Huwa nashangaa baadhi ya watanzania ambao wamejiweka mitazamo ya kuzaliwa, kuishi, kuoa mpaka Kufa hata nchi jirani hajawahi kufika.

Yani Mwanaume mzima hata Kenya, Uganda, Zambia,Rwanda basi hata Malawi hujawahi kufika kabisaaaa? Inashangaza sana

Nenda hata holiday siku 3 urudi, Umekariri eti december mwanaume unaenda kujazana kwenye vibasi vidogo unaenda kijijini kwenda kusalimia.( Sikatai kusalimia wazazi, ndugu ila kila mwaka upo tu).

Kama huwez kuchukua familia emu jibebe we mwenyew basi nenda hata jiji la Nairobi, Gaborone au Kwa madiba ukajipige msasa hicho kichwa na mawazo uone walau mbali na ujinga wa watanzania walio wengi pia kuna raia wa nchi zingine wanajitambua.
Nenda kakutane na watu wapya na si kila siku unakutana na wagogo wa dodoma tu.

Toka umezaliwa wewe kweli mpaka hapa unakaribia kuzeeka na kufa Unaishia Dar m-Arusha au Dar-Mbeya.BADILIKA!!!!!

Kuna nchi za jirani hapo hata nauli haifiki 200,000 kwa bus kama huna nauli ya ndege mfano: kutoka Dar-Harare ni dola 100 tu ~Tsh 233,000.

Umekazana tu ukipata kahela mbio kijijini, Utakuja kurogwa!!!

Nenda ukaone raia wa sauzi, Botswana, Namibia hata Congo walivyojitambua na namna wanajua haki zao siyo wewe kutwa Simba,Yanga na ukiambiwa Kapige kura unajifanya haikuhusu, kule raia wanajitambua na hakika ukienda huko na kurudi utaona namna ambavyo Ujinga unatuharibu wa Tanzania.

Hapa nilipo namshukuru MUNGU nimefika nchi 5 tofauti tofauti Botswana,Zambia,Malawi,south Africa na Congo.

Yani nimejionea namna raia nchi zingine wanavyo-enjoy na kula National cake na siyo huku Bongo Raia walala hoi wanateseka na bado kutwa kusifia ujinga.

NENDA KATOE USHAMBA HUKO,MWANUME MZIMA UNAISHIA MAFINGA TU.

View attachment 2611745
View attachment 2611746
View attachment 2611747
View attachment 2611748



KAMA UNA HELA SIYO MBAYA NENDA HATA ULAYA,USA NA KWINGINE.
NA KAMA HUNA NENDA HAPO KWA JIRANI.


Nshomile
Kagera,Tanzania
Mm ntakuja Kagera japo niende hata hapo kyaka ilabo....mtukula niingie UGANDA Kwa mu7
 
Jambo Jambo?

Huwa nashangaa baadhi ya watanzania ambao wamejiweka mitazamo ya kuzaliwa, kuishi, kuoa mpaka Kufa hata nchi jirani hajawahi kufika.

Yani Mwanaume mzima hata Kenya, Uganda, Zambia,Rwanda basi hata Malawi hujawahi kufika kabisaaaa? Inashangaza sana

Nenda hata holiday siku 3 urudi, Umekariri eti december mwanaume unaenda kujazana kwenye vibasi vidogo unaenda kijijini kwenda kusalimia.( Sikatai kusalimia wazazi, ndugu ila kila mwaka upo tu).

Kama huwez kuchukua familia emu jibebe we mwenyew basi nenda hata jiji la Nairobi, Gaborone au Kwa madiba ukajipige msasa hicho kichwa na mawazo uone walau mbali na ujinga wa watanzania walio wengi pia kuna raia wa nchi zingine wanajitambua.
Nenda kakutane na watu wapya na si kila siku unakutana na wagogo wa dodoma tu.

Toka umezaliwa wewe kweli mpaka hapa unakaribia kuzeeka na kufa Unaishia Dar m-Arusha au Dar-Mbeya.BADILIKA!!!!!

Kuna nchi za jirani hapo hata nauli haifiki 200,000 kwa bus kama huna nauli ya ndege mfano: kutoka Dar-Harare ni dola 100 tu ~Tsh 233,000.

Umekazana tu ukipata kahela mbio kijijini, Utakuja kurogwa!!!

Nenda ukaone raia wa sauzi, Botswana, Namibia hata Congo walivyojitambua na namna wanajua haki zao siyo wewe kutwa Simba,Yanga na ukiambiwa Kapige kura unajifanya haikuhusu, kule raia wanajitambua na hakika ukienda huko na kurudi utaona namna ambavyo Ujinga unatuharibu wa Tanzania.

Hapa nilipo namshukuru MUNGU nimefika nchi 5 tofauti tofauti Botswana,Zambia,Malawi,south Africa na Congo.

Yani nimejionea namna raia nchi zingine wanavyo-enjoy na kula National cake na siyo huku Bongo Raia walala hoi wanateseka na bado kutwa kusifia ujinga.

NENDA KATOE USHAMBA HUKO,MWANUME MZIMA UNAISHIA MAFINGA TU.

View attachment 2611745
View attachment 2611746
View attachment 2611747
View attachment 2611748



KAMA UNA HELA SIYO MBAYA NENDA HATA ULAYA,USA NA KWINGINE.
NA KAMA HUNA NENDA HAPO KWA JIRANI.


Nshomile
Kagera,Tanzania
 
Sasa kenya, uganda and Malawi ni Nchi za nje hizo? Is just another homes for brothers from another mother, Zambia, Malawi, Mozambique, Zimbabwe and South Africa, tumekua tukienda huko since 17years of age,tena nikikamatwa na migration Officers wa Zambia na Malawi nalia kwamba namtafuta Baba yangu wananiachia naendelea kufanya yangu Lusaka, Lilongwe is like the way I visit Homeland Mbeya City

licha ya kuwa jirani zetu kuna mtu ana miaka 50 hajawahi kufika, wewe umefika ndo mana unasema hvyo

niko hapa kuwashauri kuwa hata nchi zingine hzio wakataliii
 
Back
Top Bottom