Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
mie nimecheka DC sijaelewa bado Polio????
Mhh Da FL1, sikujua kama na wewe ni mchokozi kiasi hicho.
Haya basi, polio ni ugonjwa wa kupooza ambao unaweza kuathili kiungo kimoja au zaidi (mfano miguu). Mgonjwa anapata flaccid paralysis ambayo ni kinyume cha tetanic paralysis. Sasa kama jogoo kaugua polio, basi anakuwa usingizini wakati wote. Tuko pamoja au mbado??