Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
aaha kumbe leseni yao ni kwa wote eeh?
Hapana my dear Bebii usinikoti vibaya! Leseni ni kwetu tu! Wewe ukijiingiza humo unafoji na ndio maana nikikustukia inakuwa mwisho wa safari lakini kinyume chake si kweli.