OCC Doctors
Senior Member
- Jul 20, 2018
- 104
- 151
Ugumba kwa wanaume ni tatizo, na huchangia asilimia 50% ya wanandoa wasio na uwezo wa kuzaa.
Utoaji wa huduma za afya za kibingwa kushughulikia matatizo ya uzazi ya mwanaume bado hayatoshi ikilinganishwa na mwenza wake wa kike. Kwasababu kipimo cha mbegu (semen analysis) ndio njia pekee katika kutoa taratibu za gharama kubwa za usaidizi wa kupandikiza uzazi (in-vitro fertilization).
Kwa hivyo, wanaume wengi huendelea kujitahidi kutungisha mimba bila mafanikio na hawataki kutathminiwa kikamilifu.
Utoaji wa huduma za afya za kibingwa kushughulikia matatizo ya uzazi ya mwanaume bado hayatoshi ikilinganishwa na mwenza wake wa kike. Kwasababu kipimo cha mbegu (semen analysis) ndio njia pekee katika kutoa taratibu za gharama kubwa za usaidizi wa kupandikiza uzazi (in-vitro fertilization).
Kwa hivyo, wanaume wengi huendelea kujitahidi kutungisha mimba bila mafanikio na hawataki kutathminiwa kikamilifu.