Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,186
- 454,569
mana huo ndio ugonjwa wako
mana huo ndio ugonjwa wako
Akiiii wanauzi sana jamani si watafute waoKuna wengine ni majini ya kutumwa wenye sura za binadamu ila nafsi ya kishetanii wapo kuharibu zaidi
Hizi huwa ni dalili nzuri
Halafu niliweka pic kwa stts nikajua utachungulia mishkaki ni mitamu mama na ile salad yao woiiiidoh!
Dada yangu huyu ananogewa kutongozwa mkuu!Lol! Weye Mkuu acha hizooooooo
Don naomba list za wadada waliofunga pm
Dada yangu huyu ananogewa kutongozwa mkuu!
Nna uchu balàaaamana huo ndio ugonjwa wako
Hahhaha kwahiyo huo mtihani mtaufanya nyieKuna mtihani wa hii topic pass marks ni 75%
Nna uchu balàaaa
Tatizo nyotaaaaa!!! hata salamu hawaulizwii!PM ziko wazi 24/7Akiiii wanauzi sana jamani si watafute wao
Tatizo nyotaaaaa!!! hata salamu hawaulizwii!PM ziko wazi 24/7
Sasa kwa nini wasitumbue macho kwa vya watu
Sikuona au may be sikufatilia shoga angu!Halafu niliweka pic kwa stts nikajua utachungulia mishkaki ni mitamu mama na ile salad yao woiiii
kutongozwa ya hadharani kwani ina shida gani mkuu mbona mimi huwa namtongozaga Miss Natafuta waziwazi hapa jukwaani au ndiyo maana simpati nini??!Kutongozwa hadharani hivi Mkuu? Maongezi tu ya kawaida.
Hahhaha kwahiyo huo mtihani mtaufanya nyie
Kweli ujue au ndo hvyo tena
kutongozwa ya hadharani kwani ina shida gani mkuu mbona mimi huwa namtongozaga Miss Natafuta waziwazi hapa jukwaani au ndiyo maana simpati mkuu??!
AmenAmeeen nakupenda mm Yesu wetu azidi kukulinda na kuniwekea tu kwa ajili yangu mm
Ngoja nijiamin nimsake mdeeWanaume huwa mnaamini mwanamke mwenye muonekano fulani hawezi kuwa na wewe. Kwa mfano mwenye kazi nzuri kukuzidi au mwenye mvuto unaohisi wewe humfai. Mnachokosea ni kwamba mwanamke akikupenda hata uwe muokopa makopo atakukubalia. Ukiwa unapiga sound usianze kutumia maneno ooh najua mimi sio level yako we mzuri sana wewe una kipato kunizidi wewe this wewe that blah blah. Nenda kwenye point sio kuanza kujilalamisha uonewe huruma. Mwanaume ukijiamini hata uweje utapata mwanamke unaemtaka. Kazi yako au muonekano wako hauhusiani na mapenzi yako.
Natamani huyu kaka alonipigia simu saa hizi asome hapa maana hata kama nilipanga kumkubali basi tena keshanikosa.