Boniface Evarist
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 1,147
- 512
chekii hii...! Huu ugentleman mwingine ni extraordinary: jamaa kamzimia dem kanisani, mara ukafika muda wa sadaka eti akamwambia "dont wory i'll pay 4 u" mapenzi mabaya guyz yaani jamaa kajisahau kabisa kwamba yuko wapi,teh teh teh teh teh teh teh...