Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,945
- 5,849
Ndugu zangu niwape pole sana kwa taarifa zilizotufikia
Wakuu wangu kuna kazi ambazo mwanaume akizijua na kuzifanya kwa weledi wa hali ya juu basi kuoa ni kazi sana
* Kuosha viombo vingae na kusugua sufuria kwa weledi
*Kupika pishi tamu kushinda hata mwanamke
*Kufua nguo , tena unakuta anarundika na anaratiba yake maalumu ya kufua na anang'arisha pasi na shaka lolote
* Kupiga deki kwa kuinama kama tuonavyo kwa wake zetu
* Kuweka chumba katika hali ya usafi wa hali ya juu mpaka mwanamke akiingia anatetemeka
* Kuchambua mboga, kukata mboga, kukata vitunguu, kuchambua mchele , maharage na vitu vingine vinavyofanana na hivyo
* Kupika chai asubuhi na kunywa kabla ya kwenda kazini / kibaruani/ mihangaikoni
Nyongeza;: anajua kazi zote na bado ukute anapata mbususu za kumfanya ajisikie ahueni
Huyu haoi kabisa na akioa labda kakumbushwa sana na masela pamoja na ndugu jamaa na wazazi na bado hata akioa utakuta hatoki jikoni kirahisi rahisi hakika
Wakuu wangu kuna kazi ambazo mwanaume akizijua na kuzifanya kwa weledi wa hali ya juu basi kuoa ni kazi sana
* Kuosha viombo vingae na kusugua sufuria kwa weledi
*Kupika pishi tamu kushinda hata mwanamke
*Kufua nguo , tena unakuta anarundika na anaratiba yake maalumu ya kufua na anang'arisha pasi na shaka lolote
* Kupiga deki kwa kuinama kama tuonavyo kwa wake zetu
* Kuweka chumba katika hali ya usafi wa hali ya juu mpaka mwanamke akiingia anatetemeka
* Kuchambua mboga, kukata mboga, kukata vitunguu, kuchambua mchele , maharage na vitu vingine vinavyofanana na hivyo
* Kupika chai asubuhi na kunywa kabla ya kwenda kazini / kibaruani/ mihangaikoni
Nyongeza;: anajua kazi zote na bado ukute anapata mbususu za kumfanya ajisikie ahueni
Huyu haoi kabisa na akioa labda kakumbushwa sana na masela pamoja na ndugu jamaa na wazazi na bado hata akioa utakuta hatoki jikoni kirahisi rahisi hakika