carnage21
JF-Expert Member
- Jan 24, 2023
- 520
- 1,257
Pelly Ruddock Mpanzu (amezaliwa 22 Machi 1994) ni mwanasoka wa kulipwa ambaye anacheza kama kiungo Katika klabu ya Luton Town Ambayo Imefanikiwa Kupanda Ligi Kuu ya Uingereza Msimu ujao.
Pelly Alizaliwa Nchini Uingereza ila aliamua kuwakilisha Taifa la Wazazi wake DRC na Anacheza Katika timu ya taifa ya DR Congo 🇨🇩.
Pelly Ndiye mwanasoka wa kwanza Katika Historia ya Uingereza Kuipandisha Daraja Timu yake kutoka katika Madaraja ya Chini kabisa Yan mfano Kwa Ligi za Tanzania Zile Ligi za Wilaya Hadi Kuipandisha Timu Ligi Kuu akiwa na klabu moja Yani Hajawahi Kuhama
Haya Ndio Madaraja ya Ligi za Uingereza kuanzia Daraja la Chini Hadi Ligi Kuu Ambayo Pelly Amecheza akiwa hapo tangu 2013
✓National League
✓League 2
✓League 1
✓Championship
✓Premier League ®
Tumpongeze na apewe maua yake👏👏
Pelly Alizaliwa Nchini Uingereza ila aliamua kuwakilisha Taifa la Wazazi wake DRC na Anacheza Katika timu ya taifa ya DR Congo 🇨🇩.
Pelly Ndiye mwanasoka wa kwanza Katika Historia ya Uingereza Kuipandisha Daraja Timu yake kutoka katika Madaraja ya Chini kabisa Yan mfano Kwa Ligi za Tanzania Zile Ligi za Wilaya Hadi Kuipandisha Timu Ligi Kuu akiwa na klabu moja Yani Hajawahi Kuhama
Haya Ndio Madaraja ya Ligi za Uingereza kuanzia Daraja la Chini Hadi Ligi Kuu Ambayo Pelly Amecheza akiwa hapo tangu 2013
✓National League
✓League 2
✓League 1
✓Championship
✓Premier League ®
Tumpongeze na apewe maua yake👏👏