Mwanasiasa anafadhili mgomo madereva wa mabasi

nzalendo

JF-Expert Member
May 26, 2009
10,696
9,883
Kuna jamaa mwanasiasa jina kwa kapuni (sababu ya sharia mupya) anawafadhili ili kuisumbua serikali
(picha nayo kapuni.)

Wameandaa na wapiga mawe.
 
Wadau hii imekaaje,madereva wetu wanataka kugoma kisa wameambia warudi shule wakajifunze zaid kuhusu udereva,mmh wabongo bhana migomo mingne haina maana.
 
Wadau hii imekaaje,madereva wetu wanataka kugoma kisa wameambia warudi shule wakajifunze zaid kuhusu udereva,mmh wabongo bhana migomo mingne haina maana.

Mi sioni sababu ya kuwagandamiza madereva. Kwanza chuo wanachoambiwa wakasome ni kimoja tu ,NIT.Gharama yake ni kubwa kwa muda wa wiku 10,
Kumlipisha mtu sh.500,00,0/= kwa siku 10 ni wastani wa sh.50,000/= kwa siku.Ni pesa nyingi kwa mtu asiye na ajirara rasmi wakati ana familia.

Hata hivyo ni kuwaonea tu madereva kwa kuwaona kuwa ni wazembe wakati Wizara na idara zote zina matatizo yanayowapasa watumishi wote kurudi darasani.
 
Mi sioni sababu ya kuwagandamiza madereva.
Kwanza chuo wanachoambiwa wakasome ni kimoja tu ,NIT.Gharama yake ni kubwa kwa muda wa wiku 10,
Kumlipisha mtu sh.500,00,0/= kwa siku 10 ni wastani wa sh.50,000/= kwa siku.Ni pesa nyingi kwa mtu asiye na ajirara rasmi wakati ana familia.

Hata hivyo ni kuwaonea tu madereva kwa kuwaona kuwa ni wa zembe wakati. Wizara na idara zote zina matatizo yanayowapasa watumishi wote kurudi darasani.
Naunga mkono na mguu point hii.
 
Wadau hii imekaaje,madereva wetu wanataka kugoma kisa wameambia warudi shule wakajifunze zaid kuhusu udereva,mmh wabongo bhana migomo mingne haina maana.
Wewe unaona sawa, daktari na Mwalimu uliwahi ona wanaambiwa warudi shule tena ndipo waendelee na huduma zao, wako sahihi kabisa maana hiyo ni njia ya kuibia wananchi pesa zao, ada ya kurudi kusoma unajua ni shilingi ngapi? nadhani system ya nchi haiko systematic, utaratibu huo wameuchukua wapi, nadhani ni pendekezo la IGP au RPC mmoja serikali imeliunga mkono.
 
Warudi shule hao upuuzi hatutaki kila kukicha wanachezea roho zetu kama vitenesi. Kwani huo weledi watakaopata huko shule si ni kwa manufaa yao?
 
Hakuna ukweli juu ya hili. Binafsi niliwasikia madereva wakisema wao ni wahuni na jamii ndivyoinavyojua, lakini katika mgomo huu hawatapiga mtu ila kwanza watakuwa na vikao. pia kwa dereva atakaye wasaliti wao hawatapiga ila watamtenga katika umoja wao
 
Wangewahi darasani waje wawatoe nishai wasitaka kusoma. Tumechoka kuhudumiwa na watu wasiojuwa umuhimu wa taaluma yao, vifo na ulemavu ndio gharama za kuendeshwa na waendesha magari wasio na elimu
 
Mi sioni sababu ya kuwagandamiza madereva. Kwanza chuo wanachoambiwa wakasome ni kimoja tu ,NIT.Gharama yake ni kubwa kwa muda wa wiku 10,
Kumlipisha mtu sh.500,00,0/= kwa siku 10 ni wastani wa sh.50,000/= kwa siku.Ni pesa nyingi kwa mtu asiye na ajirara rasmi wakati ana familia.

Hata hivyo ni kuwaonea tu madereva kwa kuwaona kuwa ni wazembe wakati Wizara na idara zote zina matatizo yanayowapasa watumishi wote kurudi darasani.

Hiyo ada hawalipi wao wanalipa matajiri wao waliowaajiri.Kama kulalamika na kugoma wangegoma waajiri ambao wanawajibika kuwasomesha na kuwalipia.Huu mgomo umechochewa na wanasiasa ni kweli kabisa.
 
Hakuna ukweli juu ya hili. Binafsi niliwasikia madereva wakisema kwa dereva atakaye wasaliti wao hawatapiga ila watamtenga katika umoja wao

Uwongo walikuwa wakipiga mawe vioo kila gari lilolokuwa linataka kuondoka na kuliwekea misumari kwenye matairi
 
Hiyo ada hawalipi wao wanalipa matajiri wao waliowaajiri.Kama kulalamika na kugoma wangegoma waajiri ambao wanawajibika kuwasomesha na kuwalipia.Huu mgomo umechochewa na wanasiasa ni kweli kabisa.

Hii inahusu madereva wa mabasi tu kwenda kusoma au dereva yeyote hata mwenye private car? Halafu matajiri watawalipiaje ada wale madereva binafsi
 
Back
Top Bottom