Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 312
- 288
Mashindano hayo yanatarajiwa kushirikisha wanariadha zaidi ya elfu arobaini (40,000) wanaotoka katika nchi 66 duniani.
Mashindano hayo yanatarajiwa kuanzia , Bradfield Park, milsons point na kumalizikia Sydney Opera House Forecourt huko Sydney Australia.
Gabriel anakwenda akiwa na muda mzuri wa 2:03:00 kwa mbio za marathon, yaani kilomita 42.195 na akifanya vizuri zaidi itamuweka sehemu bora zaidi.
Pia, kwenye mbio hizi anatarajia kupata donge nono kutoka kwenye kampuni yake (Adidas), kupitia meneja wake.