Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,515
Mwanamke mmoja mkazi wa Mwananyamala anadaiwa kumvuta na kumuingiza ndani ya banda la mbwa Mtoto Mohammed Shaaban mwenye umri wa miaka kumi mwanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya msingi mwananyamala na kung’atwa sehemu ya mwili wake.
Inadaiwa mama huyo alimkuta mtoto huyo akichungulia getini kwake.
Mbwa waliomshambulia mtoto huyo na kumng’ata ni wa mama huyo, lakini pia mtoto huyo amekosa huduma ya sindano ya kichaa cha mbwa katika hospitali mbili za serikali huku mtuhumiwa akiwa hajachukuliwa hatua yoyote.
Chanzo: ITV
Inadaiwa mama huyo alimkuta mtoto huyo akichungulia getini kwake.
Mbwa waliomshambulia mtoto huyo na kumng’ata ni wa mama huyo, lakini pia mtoto huyo amekosa huduma ya sindano ya kichaa cha mbwa katika hospitali mbili za serikali huku mtuhumiwa akiwa hajachukuliwa hatua yoyote.
Chanzo: ITV