Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 333
Mwananchi ImevamiwaNdugu wateja na wasomaji wetu tunaomba rNdugu wateja na wasomaji wetu tunaomba radhi website yetu haitakuwepo hewani kwa muda kidogo. Kifupi tumevamiwa na 'hackers' wabaya tunashughulikia tatizo, muda si mrefu tutarudi hewaniadhi website yetu haitakuwepo hewani kwa muda kidogo. Kifupi tumevamiwa na 'hackers' wabaya tunashughulikia tatizo, muda si mrefu tutarudi hewani. Kusoma Click
Ndugu wateja na wasomaji wetu tunaomba radhi website yetu haitakuwa hewani kwa muda kidogo.Kifupi tumevamiwa na 'hackers' wabaya tunashughulikia tatizo,muda si mrefu tutakuwa hewani
Jamani nimekuta habari hii kwenye web ya mwananchi newspaper kulikoni? Hii inatokana na nini?
Ndugu wateja na wasomaji wetu tunaomba radhi website yetu haitakuwa hewani kwa muda kidogo.Kifupi tumevamiwa na 'hackers' wabaya tunashughulikia tatizo,muda si mrefu tutakuwa hewani
Jamani nimekuta habari hii kwenye web ya mwananchi newspaper kulikoni? Hii inatokana na nini?
Last edited: